Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

Unazunguka, na wala hueleweki unachotaka
Umeongea sana kuhusu mapato,, nimekuwekea
1. Dar es Salaam = 23,896,520 (17.1%)

2. Mwanza = 10,285,442 (7.4%)

3. Mbeya = 7,849,917 (5.6%)

4. Shinyanga incl.Simiyu = 7,175,982 (5.1%)

5. Morogoro = 6,716,296 (4.8%)

6. Arusha = 6,562,356 (4.7%)

7. Tanga = 6,548,355 (4.7%)

8. Kilimanjaro = 6,298,586 (4.5%)

9. Geita = 6,211,376 (4.4%)

10. Ruvuma = 5,317,073 (3.8%)

Kwa nini kwenye figure ya Mkoa wa Shinyanga na mapato ya Simiyu yamejumuishwa?

Hiyo ni Mikoa miwili tofauti na kila mmoja unajitegemea kwa kila kitu, hivyo hiyo figure uliyoiainisha tunaigawa kwa 2, hapo ndo utajua maana ya MAGAZIJUTO

Jambo jingine: Hujaweka chanzo "Source", takwimu zako ni invalid
 
Kwa nini kwenye figure ya Mkoa wa Shinyanga na mapato ya Simiyu yamejumuishwa?

Hiyo ni Mikoa miwili tofauti na kila mmoja unajitegemea kwa kila kitu, hivyo hiyo figure uliyoiainisha tunaigawa kwa 2, hapo ndo utajua maana ya MAGAZIJUTO

Jambo jingine: Hujaweka chanzo "Source", takwimu zako ni invalid
Alizikataa hizi takwimu za TRA anataka watu waamin hizo takwimu zake za kutunga

Screenshot_20220512-144716.png
 
Unazunguka, na wala hueleweki unachotaka
Umeongea sana kuhusu mapato,, nimekuwekea👇🏽
1. Dar es Salaam = 23,896,520 (17.1%)

2. Mwanza = 10,285,442 (7.4%)

3. Mbeya = 7,849,917 (5.6%)

4. Shinyanga incl.Simiyu = 7,175,982 (5.1%)

5. Morogoro = 6,716,296 (4.8%)

6. Arusha = 6,562,356 (4.7%)

7. Tanga = 6,548,355 (4.7%)

8. Kilimanjaro = 6,298,586 (4.5%)

9. Geita = 6,211,376 (4.4%)

10. Ruvuma = 5,317,073 (3.8%)
Niwekee source ya Serikali ya haya uliyoandika.. Mchango wake kwa pato la taifa ni upi?
 

Jifunze kuandika kwanza n

Haya tutoe hizo 30% halafu leta mkeka tena
Kahama 2021 imekusanya 41bn, sasa Moshi ufanye ni 50% tu sio tena 70% unapata 92bn.. Mara 2 zaidi ya Kahawa.

Tena hapo janga la Corona limesababisha mapato kushuka..
 
Ila life style yao ni ya kizungu sana,africa mashariki hakuna hamna mambo ya kufatanafatana kama ulaya vile.

Hata ukimkuta massawe anaiba we endelea na hamsini zako,.,

Mimi sio mtu wa Moshi wa kahama
Nimefuatilia huu uzi nimegundua mleta mada ana shida na watu wa Moshi (msongo wa mawazo) sijui mmefanya nini ??

Si useme tu ni mtu wa uchaggani kwani kuna shida!! Usiogope bwana
Niwekee source ya Serikali ya haya uliyoandika.. Mchango wake kwa pato la taifa ni upi?

Nakuona bado unahangaika, basi weka wewe
 
Kwanza tafsiri ya maendeleo ni ipi
Au unadhani labda msongamano wa nyumba bila mpangilio ndiyo maendeleo

Unapoiongelea moshi unaongelea makazi bora maji safi na uhakika huduma za afya, shule barabara
Hayo maeneo unayofananisha na moshi yanakidhi hivi vigezo kiasi gani
Wacha kuwa jinga mna mpangilio gani izo shule zimewasaidia nn zaidi ya kuwa vibarka na kuwa na magenge ya siasa

Mkoa gani mandizi kila kona hujui maeneo ya mashamba wal makazi kama tumbil sijui sokwe ndizi kila kona hamna ustaarabu huko rombo Sasa kushinda vijiweni kulewa tu kazi hamtaki kukalia historia za utajir mbona hatuoni maendeleo mkoani mwenu mlima mnao kila kitu mmekaliza ulevi

Mkija mikoa ya watu mkapata exposure na kukaribisha maana kule kwenu bado mna ukabila na kung'ang'ania ardhi mnaishi mwaka 80's mnalete ujuaji nyie hata musome vip lands mtoke muende mkoani au nje kama wengine lakini hapo hapawezi kuwa jiji
 
Ufahamu wake utakuwa na kasoro au anabisha kwa lengo la kubisha tu
Ni mpumbavu sababu kama ameletewa takwimu za TRA na BoT na bado anaendelea kupinga ni mpumbavu

Kwa uelewa wangu kahama ni mji unaokua kwa Kasi lakin bado kwenye huduma za kijamii huufiki Moshi mfano equity walikua wanatangaza wamefungua tawi kahama nawakati Moshi tawi la equity lipo tokea 2000's, na kahama hawana hospital kubwa kama kcmc
 
Wacha kuwa jinga mna mpangilio gani izo shule zimewasaidia nn zaidi ya kuwa vibarka na kuwa na magenge ya siasa

Mkoa gani mandizi kila kona hujui maeneo ya mashamba wal makazi kama tumbil sijui sokwe ndizi kila kona hamna ustaarabu huko rombo Sasa kushinda vijiweni kulewa tu kazi hamtaki kukalia historia za utajir mbona hatuoni maendeleo mkoani mwenu mlima mnao kila kitu mmekaliza ulevi

Mkija mikoa ya watu mkapata exposure na kukaribisha maana kule kwenu bado mna ukabila na kung'ang'ania ardhi mnaishi mwaka 80's mnalete ujuaji nyie hata musome vip lands mtoke muende mkoani au nje kama wengine lakini hapo hapawezi kuwa jiji
Lakin takwimu za TRA zinaongea tofauti na wewe, Sasa tukuamini wewe ambaye takwimu zotezote utakua ni ujuha
 
Wacha kuwa jinga mna mpangilio gani izo shule zimewasaidia nn zaidi ya kuwa vibarka na kuwa na magenge ya siasa

Mkoa gani mandizi kila kona hujui maeneo ya mashamba wal makazi kama tumbil sijui sokwe ndizi kila kona hamna ustaarabu huko rombo Sasa kushinda vijiweni kulewa tu kazi hamtaki kukalia historia za utajir mbona hatuoni maendeleo mkoani mwenu mlima mnao kila kitu mmekaliza ulevi

Mkija mikoa ya watu mkapata exposure na kukaribisha maana kule kwenu bado mna ukabila na kung'ang'ania ardhi mnaishi mwaka 80's mnalete ujuaji nyie hata musome vip lands mtoke muende mkoani au nje kama wengine lakini hapo hapawezi kuwa jiji
Nimeuliza jambo dogo tu umeishia kuongea hovyo bila kunipa jibu la msingi
Tuishie hapa
 
Back
Top Bottom