Yeah but huyu mwalimu yupo ndani amefunguliwa Docket?,au kaswaga kama mbuzi wa huku lingusenguse ndani?,nini mashitaka yameandikwa ndani ya Docket hiyo?,topics za ualimu hasa za hivi karibuni zina .....Tatizo jeshi letu la polisi lina njaa sana hivyo ni rahisi tuu huyo afisa elimu kuhonga askari na askari wakamtengenezea kesi huyo mwalimu.