kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 12,260
- 13,973
Akina sabayaAfisa elimu kajatengenezea nchi yake
Akina sabayaAfisa elimu kajatengenezea nchi yake
Ni kama chapa ya jogoo pale Magomeni Usalama
Walimu bwana yaani mnajifanyaga maafisa vipeeenyokila kitu mnajua... waandishi wa habari ni nyie, askari ni nyie, mahakama ni nyie
FULL MAJUNGU!
Fanyeni kazi, tafuteni hela shida ni umasikini tu hapo hamna jengine
Fanyeni kazi.. acheni majungu..
Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Rais Samia ataendelea na Urais baada ya 2025Ngonyani anasema Ana Uhusiano na Angela Kairuki hivyo mnajisumbua bure, tena atapanda cheo soon
Fanyeni kazi.. acheni majungu..
Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Rais Samia ataendelea na Urais baada ya 2025Tunahitaji tathimini ya safari za Rais Samia
Ndugu zangu watanzania sisi ndo walipa kodi wa nchi hii. Rais hana pesa zake wala CCM haina pesa zake.. hivyo basi tuna kila sababu ya kufahamu matumizi ya kodi hizi za watanzania masikini. Rais alikuwa China juzi ametoka huko akaunga EGYPT. Safari zake kwa kipindi hiki cha mwaka na miezi sasa...www.jamiiforums.com
Wewe pia fanya kazi acha majungu
Tena Ndio anatamba kuwa soon anapandishwa cheo ns TAMISEMIHuyo Ngonyani na tuhuma zote hizi bado yupo ofisini?
DOKEZO - Uonevu uliokithiri Idara ya Elimu Manispaa ya Moshi
Mimi ni Mwl. Kutoka Manspaa ya Moshi ambaye ni muhanga wa matukio machafu yanaofanywa na Kiongozi wa idara ya Elimu Ndugu NICHOLAUS NGONYANI. Nimeandika ujumbe huu kwa uchungu na masikitiko makubwa kwa kuona kada yangu ya Elimu inachafuliwa kwa uzembe na tamaa za uongozi. Yafuatayo ni baadhi...www.jamiiforums.com
Majungu tuuu....Tunahitaji tathimini ya safari za Rais Samia
Ndugu zangu watanzania sisi ndo walipa kodi wa nchi hii. Rais hana pesa zake wala CCM haina pesa zake.. hivyo basi tuna kila sababu ya kufahamu matumizi ya kodi hizi za watanzania masikini. Rais alikuwa China juzi ametoka huko akaunga EGYPT. Safari zake kwa kipindi hiki cha mwaka na miezi sasa...www.jamiiforums.com
Wewe pia fanya kazi acha majungu
Majungu tuuu....
Wewe ndio Ngonyani?Haya ni majungu ya halmashauri yanajulikana. Jamaa ana barua ya uteuzi