Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Hongera polisi Morogoro tumechoka na maandamano yasiyo kuwa na faida kila kukicha CHADEMA na maandamano watu tuko kazini ,sensa huku maandamano.
Hk ni chama gani mbona CCM,CUF wanafanya mikutano bila maandamano? yani chama hiki CHADEMA kimekaa kivisa viisa tu na wanatafuta chokochoko tu na serikali na kwa nini wananchi tunakubali kutumiwa.
Akili Fupi!