VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Nimepishana na magari matatu yaliyosheheni FFU yakifuatiwa na gari la maji ya kuwasha yakielekea Morogoro. Hapa ni Kibaha. Inavyoonekana,hawa wanakwenda kuongeza nguvu Morogoro. Yako kasi ya ajabu. Hali ni tete...