Ungetuliza kichwa kidogo, ungemuelewa mtanzania mwenzangu.kweli watanzania wengi wana matatizo ya akili kwa iyo mbwa wakibweka na kuku wakitoa milio ndio tetemeko la ardhi teyari......duuuuh mkuu umetisha
Wanyama hu sense natural disaster haraka kuliko binadamukweli watanzania wengi wana matatizo ya akili kwa iyo mbwa wakibweka na kuku wakitoa milio ndio tetemeko la ardhi teyari......duuuuh mkuu umetisha
Hii comment inaonyesha wewe ndo mwenye shida na shule ulienda kuandika majina ya akumbukwe kwenye kuta.kweli watanzania wengi wana matatizo ya akili kwa iyo mbwa wakibweka na kuku wakitoa milio ndio tetemeko la ardhi teyari......duuuuh mkuu umetisha
kweli watanzania wengi wana matatizo ya akili kwa iyo mbwa wakibweka na kuku wakitoa milio ndio tetemeko la ardhi teyari......duuuuh mkuu umetisha
Mfao wachunga wanyama porini ukiona kondoo wanaanza kupiga miti vichwa au ngo'ombe kuanza kukimbia huko na huko wakiwa wamenyanyua mikia juu kama wameehuka mvua ikiwa inanyesha yenye radi jua radi inatua eneo hilo muda wowote kimbia kaa eneo la wazi usikae chini ya mti wowote radi inakulamba mzimaWadau msibishe. Wanyama wana uwezo wa kung'amua (detect) tetemeko muda mfupi kabla halijatokea. Wakiwepo eneo utaona wanaanza kukosa utulivu n.k
Kwa ambao hamfahamu, hadi hivi leo hakuna njia yoyote ya kisayansi inayoweza kutabiri uwepo na ukubwa wa tetemeko la ardhi. Ni hadi litokee ndipo linapimwa.
Tsunami kubwa mfano iliyotokea sehemu za Asia wanasema wiki mbili kabla wanyama walianza kukosa utulivu nyoka ,paka na mbwa nk walianza kukimbia kuelekea milimani bila kujua sababu wawe ng'ombe mbuzi nk walipenda kukimbia kuelekea milimani na kuwarudisha chini ilikuwa shida sana hawajakaa sawa Tsunami hii hapaWadau msibishe. Wanyama wana uwezo wa kung'amua (detect) tetemeko muda mfupi kabla halijatokea. Wakiwepo eneo utaona wanaanza kukosa utulivu n.k
🙏🙏Wadau msibishe. Wanyama wana uwezo wa kung'amua (detect) tetemeko muda mfupi kabla halijatokea. Wakiwepo eneo utaona wanaanza kukosa utulivu n.k
Kwa ambao hamfahamu, hadi hivi leo hakuna njia yoyote ya kisayansi inayoweza kutabiri uwepo na ukubwa wa tetemeko la ardhi. Ni hadi litokee ndipo linapimwa.
🤣🤣🤣Hii comment inaonyesha wewe ndo mwenye shida na shule ulienda kuandika majina ya akumbukwe kwenye kuta.
🙏Mfao wachunga wanyama porini ukiona kondoo wanaanza kupiga miti vichwa au ngo'ombe kuanza kukimbia huko na huko wakiwq wamenyanyua juu kama wameehuka mvua ikiwa inanyesha yenye radi jua radi inatua eneo hilo muda wowote kimbia kaa eneo la wazi usikae chini ya mti wowote radi inakulamba mzima
Wewe na yeye nani mwenye tatizo? Hata wakati wa tsunami watu wangefuata wanyama ambao walianza kuondoka mapema kutoka ukanda wa bahari athari zungepungua.kweli watanzania wengi wana matatizo ya akili kwa iyo mbwa wakibweka na kuku wakitoa milio ndio tetemeko la ardhi teyari......duuuuh mkuu umetisha
Usasa unawamaliza, hata tetemeko la kule Japan ndege waliondoka mapema kabla ya tetemeko kutokea. Kwahiyo inatakiwa ujue kuwa kuna baadhi ya viumbe Mungu Amevipa uwezo wa ku sense majangakweli watanzania wengi wana matatizo ya akili kwa iyo mbwa wakibweka na kuku wakitoa milio ndio tetemeko la ardhi teyari......duuuuh mkuu umetisha