Mkoa wa Kumamoto nchini Japani waadhimisha miaka 7 tangu kutokea kwa tetemeko kubwa la pili la ardhi

HERY HERNHO

Member
Mar 4, 2022
70
313
20230416_04_1243817_L.jpg

Inatimia miaka saba leo Jumapili tangu tetemeko kubwa la pili la ardhi kuutikisa mkoa wa Kumamoto unaopatikana kusini magharibi mwa Japani.

Tetemeko hilo lililokuwa lenye kiwango kikubwa zaidi cha saba kwenye kipimo cha matetemeko nchini Japani lilitokea katika mji wa Mashiki Aprili 16 mnamo mwaka wa 2016, siku mbili tu baada ya kutokea kwa tetemeko la ardhi la kwanza.

Maafisa wanasema jumla ya idadi ya watu waliofariki inafikia 276, wakiwemo watu waliofariki miaka kadhaa baadaye, kutokana na matatizo ya kiafya au sababu zinazohusiana na msururu wa matetemeko ya ardhi.

Katika eneo la Aso, Daraja la Aso Ohashi lilianguka kutokana na maporomoko makubwa ya ardhi ambayo pia yaliharibu barabara kuu za kitaifa na reli ya Japan Railway Hohi Line.

Ujenzi mpya wa miundombinu unakaribia kumalizika kufuatia ujenzi wa Daraja la Shin-Aso Ohashi.

Majaribio ya uendeshaji wa treni pia yameanza kwenye reli ya Minami Aso Railway Line kabla ya kufunguliwa tena kwa reli hiyo yote kulikopangwa kufanyika Julai 15.

Utafiti uliofanywa na mji wa Kumamoto mwaka huu unaonyesha kuwa zaidi ya asilimia 60 ya washiriki walisema kumbukumu zao za matetemeko hayo zinapungua.

Katika juhudi za kuvirithisha vizazi vijavyo mafunzo yaliyotokana na janga hilo, mji huo umetenga Aprili 16 kama siku ya kuwakumbuka waliofariki.
 
Miji ya japani ambayo majina yake yana maana kwa kiswahili au kuelekeana

Kobe
Pop. 1.5 million
Mito
Pop. 270,000
Wakayama
Pop. 350,000
Kumamoto
Pop. 740,000
Okinawa
Pop. 140,000
Kishiwada
Pop. 190,000
Musashino
Pop. 150,000


Babasango kikai, Toyomenka kaisha, Takuma, kumanina, Sato Kaichiro nk,

[majina ya wajapani hayo]


Nilipata kuhadithiwa kisa kimoja sijui kama kina ukweli au laa, katika Uongozi wa Rais Mkapa, kuna Balozi wa japani alikuwa kamaliza muda wake hivyo alienda ikulu kumuaga na kumtambulisha Balozi mpya ambaye angekuja baada ya yeye kurudi Japan, jina la huyo Balozi mtarajiwa lilikuwa:- Kanya Kayashika, basi Rais Mkapa akamshukuru Balozi na wakaagana.

Mara moja Rais Mkapa akamtwangia simu Waziri mkuu wa japan na kwa kifupi akamwambia; Muheshimiwa hivi karibuni unatarajia kumleta mwakilishi wako nchini Tz, najua unayo haki na kutoingiliwa katika uchaguzi wa mtu unayetaka akuwakilishe popote duniani lakini kwa heshima na taadhima na kulinda heshima na hadhi ya mtu huyo akiwa hapa nchini kwetu na kuondoa taharuki miongoni mwetu nashauri kama utapenda tafuta mtu mwingine awe muwakili wako.

Rafiki yako B.W mkapa.

Nasikia huyo jamaa Kanya Kayashika akapigwa chini na akaletwa Mtu Mwingine, sijui ndiye yule akiitwa somebody Sato.

Hii sio chai kwani mtaanza kuuliza hayo mazungumzo ya Mkapa.na Waziri mkuu wa Japani nimeyapata wapi??🤣🤣🤣 sitaki maswali.
 
Babasango kikai, Toyomenka kaisha, Takuma, kumanina, Sato Kaichiro nk,

[majina ya wajapani hayo]


Nilipata kuhadithiwa kisa kimoja sijui kama kina ukweli au laa, katika Uongozi wa Rais Mkapa, kuna Balozi wa japani alikuwa kamaliza muda wake hivyo alienda ikulu kumuaga na kumtambulisha Balozi mpya ambaye angekuja baada ya yeye kurudi Japan, jina la huyo Balozi mtarajiwa lilikuwa:- Kanya Kayashika, basi Rais Mkapa akamshukuru Balozi na wakaagana.

Mara moja Rais Mkapa akamtwangia simu Waziri mkuu wa japan na kwa kifupi akamwambia; Muheshimiwa hivi karibuni unatarajia kumleta mwakilishi wako nchini Tz, najua unayo haki na kutoingiliwa katika uchaguzi wa mtu unayetaka akuwakilishe popote duniani lakini kwa heshima na taadhima na kulinda heshima na hadhi ya mtu huyo akiwa hapa nchini kwetu na kuondoa taharuki miongoni mwetu nashauri kama utapenda tafuta mtu mwingine awe muwakili wako.

Rafiki yako B.W mkapa.

Nasikia huyo jamaa Kanya Kayashika akapigwa chini na akaletwa Mtu Mwingine, sijui ndiye yule akiitwa somebody Sato.

Hii sio chai kwani mtaanza kuuliza hayo mazungumzo ya Mkapa.na Waziri mkuu wa Japani nimeyapata wapi??🤣🤣🤣 sitaki maswali.
Hayo mengine umechomekea 😁😁😁
 
Back
Top Bottom