Jamani ukweli ni kwamba monaban hakuwa mmiliki alikuwa muendeshaji kwa niaba ya serikali through consolidated holding cooperation ambayo haipo for now, so kwa sasa nmc itasimamiwa na bodi ya nafaka na uendeshaji wake unaendelea kuwa chini ya monaban mpaka 2022 mkataba wake utakapofika mwisho but anaweza akaongezewa na Bodi ya nafaka mkataba mwingine.