Arie power
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 2,552
- 1,016
Hivi ni kweli alitoa msaada wa unga kipindi cha kampeni?? Maskini mzee wa chungu
Amseme yule sio yeye!Sema yeye sio wewe!
Lowasa kishasema hana rafiki aliyebaki ccm .I heard the same
Why now ?Angalia mkataba kabla kutoa povu
Je kiwanda alikodishwa,ubia au aliuziwa?
Inaonekana ni ubia lakini serikali imeamua kufuata mkataba na kuweka watu wake mujibu wa hisa
Unga wake umeliwa na chungu kavunja lakini masela walikula kitimoto , ambacho inasemekana mtu akila hata uvunje vyungu vingapi mhusika hawezi kudhurika .Hivi ni kweli alitoa msaada wa unga kipindi cha kampeni?? Maskini mzee wa chungu
Hahaha sawa mkuu tuanzie hapa kwanza wewe ni chama gani ?? Maana huu msemo una wenye chama chao ,nisije nikakueleza ukaishia kunirushia ngumihapo kwenye bold huu msemo umenipita pembeni.. embu nieleweshe una maana gani maana naona ni takriban wiki unatumika
Wamekongotwa na badoHao ndio walikuwa wanakesha kuhujumu upinzani kusudi ccm ishike madaraka ili waendelee kufaidi mali za wadanganganyika
Hoteli 77 iko wapi?Bado Hotel Mount Meru nayo irejeshwe kuwa mali ya Umma
Uyu jamaa kuna kipindi mwakyembe aliwahi kumtembeleaNational milling (Unga ltd)
Miafrika ndivyo tulivyo..Ajabu ni kwamba angelikuwa ni mhindi, mwarabu au mzungu asingelinyang'anywa. Sisi weusi tuna laana.
Unauliza makofi polisi?Why now ?
jamaa yaonesha bwana mvii humuelewi kabisa mpaka una Xray maalumu.Huyo si Swaiba wa Lowasa ,ni ng'ombe lakini amakatwa mkia sema huwezi kuona kwa macho ya kawaida mpaka X-Ray
ccm mchana...kwenye ccm huko nasikia kuna wanachama wa mchana usiku,huyu ni wamchana...usiku gamba,inabidi uwe na Xlay kuliona hii(quoted,kwa kada)Ndiye yeye aligombea kwa tiketi ya ng'ombe akaangukia pua mbele ya kamanda Lema,
Vilevile ni kamanda wa UVCCM Mkoa, kaisoma.
Hahaaaaa uwiiiiView attachment 372165