Mkuu labda ungetufahamisha mengine uliyoongea,wengine hatusikilizi tena hyo radio..Mopaozi, heshima yako, nilitegemea ungesema yote niliyosema pale kuliko kukata kipande kidogo tu ambaye hakusikiliza kabisa atadhani niliishia hapo na HIVYO itakuwa umempotosha, hii SI sawa NADHANI . HATA HIVYO nakushukuru kwa kunisikiliza.
Mopaozi, heshima yako, nilitegemea ungesema yote niliyosema pale kuliko kukata kipande kidogo tu ambaye hakusikiliza kabisa atadhani niliishia hapo na HIVYO itakuwa umempotosha, hii SI sawa NADHANI . HATA HIVYO nakushukuru kwa kunisikiliza.
Walipovua gamba walivaa nini? Na hicho walichovaa kina faida gani kwa M-TZ wa kawaida? Umeme tu umewashinda. Hivyo kweli kuna mtu ambaye hana hasira nao.
Mopaozi, heshima yako, nilitegemea ungesema yote niliyosema pale kuliko kukata kipande kidogo tu ambaye hakusikiliza kabisa atadhani niliishia hapo na HIVYO itakuwa umempotosha, hii SI sawa NADHANI . HATA HIVYO nakushukuru kwa kunisikiliza.
Mopaozi, heshima yako, nilitegemea ungesema yote niliyosema pale kuliko kukata kipande kidogo tu ambaye hakusikiliza kabisa atadhani niliishia hapo na HIVYO itakuwa umempotosha, hii SI sawa NADHANI . HATA HIVYO nakushukuru kwa kunisikiliza.
Ameanza kutafuta excuse ya kushindwa kwake watu walimwambia kwa spidi ile ameshindwa kabla ya kuanza hakuwaelewa.Punde mtasikia atadai ................"kuna wanaotaka kuniua"