ninachojua ni kwamba vurugu zote hz ni kwamba mbio za Urais 2015,na Mgombea wa ccm ndie atakae kuwa Rais wa Nchi hii na si Vinginevo,Chadema walie tuu,hawajakomaa kupewa Nchi yet wanahitaji muda mwingi zaidi kujifunza,Angalia hawaelewani wao kwa wao,ref.Shibuda na chadema,Madiwani chadema Arusha,utajifunza mengi sana,nwasilisha.