valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 869
Dah... Mapenzi tena!
HEHEHEEEEE. Bro, angalia, Unawezakuta smile ndio wale wa under 1$-1.3$ per day. That might be true. Sema tu anaringa hapa maana hatuwezi kupata ushaidi.wapiii!!hzo mbwembwe tu mkuu,huyo smile mwenyewe,world bank inamtambua kwamba anaishi under dollar 1 kwa siku..
(SMH) Yaani na wewe unashadadia kama...........! Unataka tusome 24 hours? Unanilipa? Man, acha umbea wewe.waambie hao madogolas.. Baada ya kutengeneza coursework nzuri..wanarukaruka humu mJengoni.
hilo gunia la hela au gunia la kinyesi?
dah mimi niishi kwa boom mimi ? boom la semister 2 ndo shoping yangu ya wkend moja hata akiwaomba bodi wampe na tution fee bado haitoshi hata wki kwangu ,pia am alergic to students niache kumiliki wazee wa atm mjini rejao nije kula vijisent vya dent? never,au anataka kula hela zangu maana mwisho wa mwaka huu mabonus kibao kwenye salary slip
Duuh, kumbe jamaa ni denti halafu anataka mambo makubwa, pole zake, ATAFULIA OOOOH!