kwa nin?
Lol kavu kavu bila hata maji ya kushushia Kaunga?Nyuzi zako na historia yako humu haikuweki kama mwanaume wa kutegemewa na kuaminiwa. Pia kutoa kwako siri za wasichana wako hazivutii ladies!
Ushauri; ingia na ID nyingine na uact kigentleman zaidi then umtokee upya. (kama hatakushitukia)
Nyuzi zako na historia yako humu haikuweki kama mwanaume wa kutegemewa na kuaminiwa. Pia kutoa kwako siri za wasichana wako hazivutii ladies!
Ushauri; ingia na ID nyingine na uact kigentleman zaidi then umtokee upya. (kama hatakushitukia)
Nyuzi zako na historia yako humu haikuweki kama mwanaume wa kutegemewa na kuaminiwa. Pia kutoa kwako siri za wasichana wako hazivutii ladies!
Ushauri; ingia na ID nyingine na uact kigentleman zaidi then umtokee upya. (kama hatakushitukia)
acha nimuwahi mden wangu.....oaMwambien nampenda sana,ila nashndwa kujieleza moja kwa moja kwake coz ya tabia yake ya kutokujibu PM zangu.
Nilitaka kuuliza kama mtoa mada anazijua kazi za Mods ila sasa nimeelewa ni Mods wapi anao wazungumzia...Senator anapenda kupost Jukwaa hili la Complaints kuliko zoooote. Na akikosa topic nafikiri ndo inakua hivi kama leo... Bahati nzuri Smile ni undercover mod: Source: Smile mwenyewe.... Hivo Senator naona tatizo litatuliwa ipasavo na Smile.