Mwambien nampenda sana,ila nashndwa kujieleza moja kwa moja kwake coz ya tabia yake ya kutokujibu PM zangu.
Loh hii ndo jf bana
am too old for this - source The Boss
Hata ningekuwa mimi nisingejibu.
umesema hivyo ili tukutumie pm? Umedoda, lol
Hata ningekuwa mimi nisingejibu.
umekuja kuthibitishia watu kuwa kweli sijibu? Tunashukuru.
Whay ? Usingemjibu ? Ndiyo mnapotezaga ma'visemnti yenu hivihivi! Zabuni zinavinjarishwa mwazichezea! Oonoh- maaama.
halafu unalipiga teke gunia la hela hivyo, ohooo! Jibu piem bana..
hilo gunia la hela au gunia la kinyesi?
subiri nami nifunguke kwako.....check PM ndo nimeanza makeke kwako!
Na kweli hata mie ningekua smile wala nisingetaka ukaribu na ww! Kila siku una kisa kipya! Kama sio wanawake wanakung'ang'ania basi ni ww unawafukuzia. Jenga imagination nzuri. Afu taratibu na huo mkopo wa bodi baba, itakula kwako!