eliesikia
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 787
- 755
Hii modem ina kadude kaa kuingizia LINE lakini yenyewe kama yenyewe haitumii line na Zantel inapiga net kama kawa...
Sasa nataka kuichakachua kama modem nyingine ili nitie line ya TIGO au AIRTEL hivi nipige maJF ya kutosha kila day...
Maujuzi jamani au sio??
nawasilisha
Sasa nataka kuichakachua kama modem nyingine ili nitie line ya TIGO au AIRTEL hivi nipige maJF ya kutosha kila day...
Maujuzi jamani au sio??
nawasilisha