Mchimba Chumvi
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 2,074
- 4,854
Simba anapata hela ipi? Simba ndio imefanya mo awe na usd 1.6B? Tumieni akili hata kidogo basiWewe humjui mo dewji kumbe jamaa amewekeza kwenye mashamba ya mkonge kwenye vyakula kwenye mafuta kwenye kuuza vyombo vya usafiri bidhaa zake nyingi anauza nje ya nchi au ulijua hela anapata simba tu mzee