MO Dewji anawazidi vipi utajiri Bakhresa na Rostam Aziz?

Bao la shoga haliwezi kutoa mtoto boraView attachment 2400934
Sheli ni nini? Nyie ndio mlibakwa utotoni.
E0BFED31-20B2-4ED9-AA03-9BF1E59E3303.jpeg
 
Mo ana kampuni nyingi sana na biashara mbalimbali sema wabongo wengi hatufuatili tunachojua sisi ni Mo energy tu, huyu jamaa kuwa namba 1 Afrika Mashariki ni sawa

Mnaobisha nendeni mkaingie official website ya METL ndo mtajua hamjui
Azam vitu vinaonekana boss tuache uongo unaweza tembea Dar usikutane na gari la AZAM?

MIMI SIJAWAHI ONA KIWANDA CHA MO WALA GARI LA MIZIGO YAKE
 
Wewe humjui mo dewji kumbe jamaa amewekeza kwenye mashamba ya mkonge kwenye vyakula kwenye mafuta kwenye kuuza vyombo vya usafiri bidhaa zake nyingi anauza nje ya nchi au ulijua hela anapata simba tu mzee
ACHA KUPAMBA MAVI MAUA MO NI DALALI TU ATA IZO PIKIPIKI BAJAJI NI DALALI TU KAMA WALE WA MASHAMBA
 
Usichokijua Kampuni ya Mo ina makampuni mengine huko West Afrika. Forbes hawawezi kumsingizia wakameacha huyo umtakae wewe, hawana sababu yoyote ya kufanya hivyo
Anahonga aandikwe ili apate udalali wa bajaj
 
Hata kama ni hivyo mimi hainingii akilini kuwa mo dewji,anamzidi utajiri Bakhresa,labda kama utajiri wa bakhresa hauko wazi,ili kuweza kupata data zote za mali zake.
Pitieni kwenye website zao wametoa maelezo, utaona nani ana mapato makubwa
 
Huyu jamaa utajiri wake wa magumashi na kiwanda cha juice eti ndiyo tajiri namba moja. Ukija kwa Bakhressa
ana meli, ngano, soda, kiwanda cha sukari chenye thamani ya bilioni 600, Azam TV na Azam Pesa.

Rostam Aziz anayemiliki kampuni ya ndege, caspian, Tigo Tanzania, Taifa gas, inakuwaje tunaambiwa huyu mbabaishaji eti ndiyo tajiri wa Tanzania? Ama anafanya ubabaifu aonekane hivo?
Kwa jinsi unavyomuita tu kuwa ni mbabaishaji, akili yako imeshajiseti hivyo so jibu zuri lolote utakaloambiea kwa nini yeye ndio namba moja hautakubali..
Kwa kifupi una wivu nae wenye chuki, labda sababu yeye ni dogo sana kwako na wewe umri umeenda ila mbele giza...
 
Azam vitu vinaonekana boss tuache uongo unaweza tembea Dar usikutane na gari la AZAM?

MIMI SIJAWAHI ONA KIWANDA CHA MO WALA GARI LA MIZIGO YAKE
Hahahaa MO gari zake hazinaga machata ya MO kama Azam ni chache zenye machata ya kampuni yake.

Ila wakongwe hapa town tukiona SHIFENG tu ya rangi ya kijivu au FAW za blue tunajua MO huyoo anapita
 
Mo mjanja mjanja tu na sitoshangaa ikija kugundulika amepika takwimu. Tajiri gani viwanda vyake vichafu na vimechoka, magari mengi mabovu na wafanyakazi wake wengi wana hali duni kimaisha.
Mfanyakazi wa Bakhresa na Rostam huwezi kumfananisha na wa Mo kwa kuangalia hali zao za maisha.
Mamlaka ya mapato nayo inadanganya inaposema mo analipa kodi zaidi ya barkhresa? Unalipa zaidi kutokana na unavyozalisha...
 
Azam vitu vinaonekana boss tuache uongo unaweza tembea Dar usikutane na gari la AZAM?

MIMI SIJAWAHI ONA KIWANDA CHA MO WALA GARI LA MIZIGO YAKE
Lori zake nyingi za kwenda mikoani na nje ya nchi ni pale tu ubavuni kwenye kichwa (cab) zimeandikwa 21st Century Food and Packaging au Glenrich Transport. Hazina chata la MO au MeTL, kwa hiyo si rahisi kujua ni za kampuni yake.

Baadhi kwenye containers zimeandikwa maandishi makubwa MeTL
 
Hata kama ni hivyo mimi hainingii akilini kuwa mo dewji,anamzidi utajiri Bakhresa,labda kama utajiri wa bakhresa hauko wazi,ili kuweza kupata data zote za mali zake.
Kitu ambacho Bakhresa kamzidi MO ni ubora wa bidhaa (quality) kwa hapo Azam hana mpinzani. Tukilinganisha ubora wa bidhaa ambazo wote wanatengeneza mfano unga wa ngano wa Azam na Safi/Mo, unga wa Azam ni bora zaidi ya Safi/Mo

Ila kwa upande wa mkwanja Mo kamzidi Bakhresa hatuhitaji hata mjadala kwenye hilo
 
ACHA KUPAMBA MAVI MAUA MO NI DALALI TU ATA IZO PIKIPIKI BAJAJI NI DALALI TU KAMA WALE WA MASHAMBA
Kupitia comment yako na comment mbali mbali za wadau inaonyesha watanzania wengi tunaishi kwenye umasikini tena wa kiwango cha chini kabisa tuna safari ndefu kama nchi kufika nchi ya ahadi ndo maana mtanzania ukimwambia mimi nilishaenda Dubai anakushangaa kupinga na kubisha kila kitu unachoambia bila facts ni dalili ya umasikini wakati kwa wenzetu hivyo ni vitu vya kawaida sana.
 
Kitu ambacho Bakhresa kamzidi MO ni ubora wa bidhaa (quality) kwa hapo Azam hana mpinzani. Tukilinganisha ubora wa bidhaa ambazo wote wanatengeneza mfano unga wa ngano wa Azam na Safi/Mo, unga wa Azam ni bora zaidi ya Safi/Mo

Ila kwa upande wa mkwanja Mo kamzidi Bakhresa hatuhitaji hata mjadala kwenye hilo
huhitaji mjadala vipi?badala ya kutoa facts?mkuu
 
Huyo mwingine simjui lakini kwa Azam hata mimi nakataa aisee!

Tangu nakua tajiri ninayemjua (aliyekuwa akijulikana na kutajwa sana ni Azam) tu

Nakumbuka Mzee Majuto aliigiza movie amemwagiza mkewe unga chapa azam mke akapuuza akanunua unga mwingine tu chapati zikawa ngumu balaa ebana wee! mwanamke alikipata pata mbona!
 
huhitaji mjadala vipi?badala ya kutoa facts?mkuu
Bakhresa (Azam) ana nembo za ubora katika bidhaa zake zinazotambulika kimataifa kama UKAS na ISO 9001 and ISO 22000 pia wana tuzo kadhaa za kimataifa za ubora.

Usifanye utani mtu ana kiwanda cha unga wa ngano hadi South Africa acha viwanda vilivyopo Rwanda, Burundi, Malawi, Uganda, Mozambique na Zimbabwe.

Kaliteka sana soko la Kusini mwa Afrika Botswana, Lesotho, Swaziland, Namibia, Zambia, Zimbabwe, Mozambique, South Africa, Malawi, Angola na Comoro.

Yote ni kwa sababu ya ubora wa bidhaa yake
 
Back
Top Bottom