Well said mkuu....Mijitu mijinga utaiona tu, inakomalia hata vitu visivyo na msingi. Au huyo diva ndo ameamua kujitangaza ajulikane kupitia Mh Mnyika. Watu wameachana na radio ya WAFU hivyo watangazaji wanatumia mbinu za mchangani kupata publicity
Here wo go again!
Mnyika naye kwa nini alikubali kwenda kwa Diva? Alitegemea ataulizwa mambo ya miswada ya bungeni? Come on now...
Here wo go again!
Mnyika naye kwa nini alikubali kwenda kwa Diva? Alitegemea ataulizwa mambo ya miswada ya bungeni? Come on now...
ndiyo hiyo, umepotea sana mkuu, nakumbuka ulikuwa ukileta minuz ya kufa mtu hapa, what happened mkuu.Mtangazaji mahiri na maarufu wa kipindi cha Ala za Roho kinachorushwa na Clouds Fm ametoa siri kuhusu mahojiano yake na Mnyika. Siri hizo ni pamoja na ushamba wa Mnyika kuingiza mambo ya umma na maji katika kipindi kinachohusu mapenzi. Diva amesema pia Mnyika alitambua kwamba Diva alikasirika na kumkatia simu baada ya kukaa kujibu swali rahisi kabisa kuhusu mapenzi.
Diva ametoa sauti ya mahojiano yake hayo aliyoyafanya na Mnyika baada ya kumpigia simu na kumrekodi akimuuliza iwapo ana Girl Friend ambapo Mnyika alikataa kujibu wa kisingizio kuwa masuala yake binafsi sio ya kuyazungumza kwenye vyombo vya habari bali mambo ya umma pekee ndiyo anayoweza kuyatolea kauli kwenye vyombo vya habari.
Madai hayo yanasikika kupitia: DIVA VS MNYIKA by DivaAKAmimi on SoundCloud - Create, record and share your sounds for free
Mnyika alitoa madai hayo huku akitambua kwamba yeye ni mwanasiasa hivyo maisha yake binafsi yanapaswa kujulikane yote kwa umma bila kuficha kitu chochote.
Hali hiyo ilimfanya Diva achukie na kukata simu bila mahojiano hayo kwa njia ya simu kukamilika, hali ambayo ilimfanya Mnyika atambue kama anavyosikika kupitia: DIVA VS MNYIKA- BEHIND THE SCENE by DivaAKAmimi on SoundCloud - Create, record and share your sounds for free
..........ndiyohiyo
Si afadhali angekuwa studio, huyu kapigiwa simu tu alipo kuulizwa swali dogo tu anakaa kutoa ushirikiano. Mbona Mbunge mwenzake Januari Makamba yeye alikwenda kabisa studio na akafanya kipindi vizuri kabisa kuhusu masuala ya mapenzi? https://www.jamiiforums.com/jf-chit-chat/226496-january-makamba-ndani-ya-ala-za-roho-ya-clouds.html Yeye ni nani mpaka anakaa kutoa ushirikiano kwa vyombo vya habari?
.......ndiyohiyo