Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Kuna kitu sikielewi hapa, ni kwa vipi Mnyika alipomshutumu Mwigulu akaambiwa alete ushihidi, lakini Manyanya alipoishutumu CHADEMA kwamba inaengineer mgomo, hata pale CHADEMA walipoomba alilete ushahidi mwenyekiti alijikausha. Inakuwaje hii? Tuzuke bungeni na malungu nini?