ufisadi wa ajira wilaya ya ilala.
SALUMU KAZUKAMWE ni afisa manunuzi wa wilaya ya ilala,huyu jamaa aliajiriwa kupitia mlango wa nyuma ie kwa rushwa na alibebwa na katanga ambaye sasa ni katibu mkuu wa TAMISEMI, ajira haikutangazwa popote kinyume na taratibu za ajira serikalini.jamaa ali push kwa kumhonga mkurugenzi wa wilaya ya ilala tsh laki sita.
salum maarufu kwa jina la KAZU aliiba pesa za misaada ya waathirika wa mafuriko ya jangwani akanunulia gari aina ya suzuki vitara nyekundu.
wanatanuru,tuimulike kwa macho mawili halmashauri ya manispaa ya ilala kuhusu ajira za mlango wa nyuma.
SALUMU KAZUKAMWE ni afisa manunuzi wa wilaya ya ilala,huyu jamaa aliajiriwa kupitia mlango wa nyuma ie kwa rushwa na alibebwa na katanga ambaye sasa ni katibu mkuu wa TAMISEMI, ajira haikutangazwa popote kinyume na taratibu za ajira serikalini.jamaa ali push kwa kumhonga mkurugenzi wa wilaya ya ilala tsh laki sita.
salum maarufu kwa jina la KAZU aliiba pesa za misaada ya waathirika wa mafuriko ya jangwani akanunulia gari aina ya suzuki vitara nyekundu.
wanatanuru,tuimulike kwa macho mawili halmashauri ya manispaa ya ilala kuhusu ajira za mlango wa nyuma.