Mnyika Bunge linakwisha, njoo uone ya jimboni

Mkuu, kabla ya Mnyika kuna wabunge wangapi wa Chama cha Magamba waliowahi kuongoza Ubungo? Na ni wangapi wa CDM? Na hao Magamba wameongoza Ubungo kwa miaka mingapi? Na Mnyika kaongoza muda gani? Je, matatizo hayo yameibuka wakati wa Mnyika tu? Kama yalikuwepo tangu huko nyuma (na ni ukweli ndio maana hayajatatuliwa hadi sasa) nani tapeli, wabunge wa Mabwepande au Mnyika? Hivi kwa ku-post thread hii, unatumia kiungo gani cha mwili wako ktk kufikiri? Ni hayo tu Mheshimiwa, sasa naomba unijibu. Ahsante sana!

Hapo umenena mkuu.
 
Mbona JK ALIAHIDI meli kubwa bukoba,pindi anatafuta kura ameshaileta bukoba?

  • A%20S-baby.gif

 
Mkuu, kabla ya Mnyika kuna wabunge wangapi wa Chama cha Magamba waliowahi kuongoza Ubungo? Na ni wangapi wa CDM? Na hao Magamba wameongoza Ubungo kwa miaka mingapi? Na Mnyika kaongoza muda gani? Je, matatizo hayo yameibuka wakati wa Mnyika tu? Kama yalikuwepo tangu huko nyuma (na ni ukweli ndio maana hayajatatuliwa hadi sasa) nani tapeli, wabunge wa Mabwepande au Mnyika? Hivi kwa ku-post thread hii, unatumia kiungo gani cha mwili wako ktk kufikiri? Ni hayo tu Mheshimiwa, sasa naomba unijibu. Ahsante sana!

mkuu hapa unakosea sana......huwezi kulinganisha yaliopita na sasa......unadhani hizi kero zinahitaji muda gani kutatuliwa????unanitisha usije ukaja ukatuuliza maswali haya kama tukiwapa cdm waongoze serikali.........nina maana utakuja na hoja kuwa cdm nayo itahitaji miaka 50 kufanya maisha yetu yawe bora...
 
Huku Bonyokwa tuna hasira naye sana. Hata daladala zimeamua kuongeza nauli zikidai barabara ni mbovu na ukweli ni kwamba huku kuna makorongo na toka achaguliwe hajawahi kuonekana wala kufanya lolote. Hata diwani wake hajulikani alipo.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Barabara hii kamanda amekwenda huko na aliipigania: JOHN MNYIKA: Barabara Bonyokwa na Daraja Ubungo Msewe ikatengenezwa mwaka jana. Imeharibika tena mwaka huu baada ya mvua lakini kamanda ameendelea kuipigania bungeni mara nyingi sana hata mwaka huu wa 2012. Katazameni hansard za bunge 2011 na 2012 mtakubaliana nami

Serayamajimbo
 
hayo yote si tuliwaambia??????? watu hawaendi mjengoni kwa wingi wa maneno yao wala kwa wingi wa matusi. chagueni kwa kuchunguza sera za vyama vyao. chama chenye matusi mengi, siyo chama.
"HATA HIVYO, KUTENDA KOSA SIYO KOSA, KOSA KURUDIA KOSA" jitahidini kutorudia kosa 2015. baada ya m3c kufeli, jaribuni m5c.
 
Kusema kwamba michango yake haiukulenga watu wa Ubungo ni kudanganya jukwaa. Hayo maeneo unayoyasema kuhusu umeme aliyahoji bungeni katika hotuba yake hii: JOHN MNYIKA: HOTUBA YA KAMBI RASMI YA UPINZANI; WIZARA YA NISHATI NA MADINI na mara baada ya hotuba hiyo TANESCO wameanza kuweka nguzo na nyaya maeneo ya King'ongo ambayo umeme ulisimama kwa muda mrefu na wametangaza ratiba kwa maeneo mengine.

Barabara hizo mnazozitaja za kuingia barabara ya Morogoro amewawakilisha wananchi Bungeni, someni hapa: JOHN MNYIKA: Barabara za Kupunguza Msongamano na Bajeti ya Wizara ya Ujenzi


Hata sababu ya kutolewa bungeni kuhusu udhaifu wa Rais ni wakati akihoji masuala ya wananchi ya barabara na maji, kama unaona uvivu kusoma msikilize hotuba yake bungeni kupitia: Mnyika: Huu ndio Udhaifu wa JK na Serikali yake. - YouTube

Huyu kabla ya kwenda bungeni huwa anakutana na wananchi

serayamajimbo
 
Back
Top Bottom