Mnyika aomba muongozo kujadili matukio ya utekaji

Spika hawezi kuruhusu wajadili mambo ya utekaji kwa kuwa wao ndo watekaji wenyewe,sasa sijui watajadili nini!
 
Si rahisi wakakubali kwani wataumbuka ndio maana wakazuia hata hotuba ya upinzani. Ukweli ni kuwa huwa haufichiki!
 
mnyika naye kachoka alianza moto karudi baridi hata kanuni za bunge zinamzingua sijui bungeni kafuata nini au kafuata kuomba muongozo,kutoa taarifa na kuhusu utaratibu.

Wewe mpaka sasa hujui kama Myika anafanya kazi bungen? Tumia akili yako vizur wewe.
 
mnyika naye kachoka alianza moto karudi baridi hata kanuni za bunge zinamzingua sijui bungeni kafuata nini au kafuata kuomba muongozo,kutoa taarifa na kuhusu utaratibu.
...Mmeajiriwa wengi mwezi wa nne!
 
ameomba bunge lipate uhuru wa kutosha kujadili matukio ya utekaji hapa nchini..bila kuathiri matukio yanayosubiri uamuzi wa mahakama..

spika amesema hayo mambo yameshatolwa ufafanuzi mara kadhaa hivyo bunge liendelee na taraibu na ratiba iliyopo mezani

bunge kama chombo huru pia kinafanya kazi zake kwa kutoa fursa nafasi kwa vyombo vingine kutekeleza majukumu yao< km Mahakama, na kimsingi siyo rahisi sana bunge kutunga sheria na wakati huohuo likachukua jukumu la kutafisri ama kusimamia sheria hizo, na vigumu pia bunge kujadili jambo lililopo mahakamani pasipo-kuathiri mwenendo wa kesi kwa mtazamo wa pande zote mbili yaani jamhuri na mtuhumiwa ktk kufikia kutenda haki. lkn pia hiyo haitoshi uendeshaji wa bunge kama taasisi ni sehemu ya utaratibu uliopo kisheria kwa kutegemeana zaidi na matakwa ya kikao cha bunge kwa maana ya bunge la budget nk, hilo nalo jambo la kuzingatiwa, ingawa fursa kwa wabunge ni nyingi kama viongozi wetu kuanzia kwenye maandalizi ya vikao vya kamati zao kama kamati ya ulinzi na usalama, ambayo kwa sasa inaonekana kupondwa sana na kambi moja na kiasi cha kuwafanya watendaji wake kukosa hata nguvu ya kufanya au kusimamia utelelezaji wa sheria kwa kuhofia hojo za mtindo wa ujanja ujanja kama hizi za mnyika na wenzie!! mfano sheria ya maandamano kwa vyama vya siasa!! au mahala popote inataka uwepo wa kibali cha polisi kinachotolewa kwa kuzingatia hali ya usalama iliyopo kwa wakati huo imekuwa ikigomewaa sana na wadau wa maandamano na kugeuza kipigio kwa upande mwingine. kiongozi kwenda kinyume na maadhimio ya vikao husika ambavyo vimezingatia usawa kwa maana ya demokrasia, chukulia mifano ya zoezi la kuwahamisha wamachinga popote pale huamuliwa na mabaraza ya halimashauri ambayo siku zote wanbunge ni wajumbe wake lakini ikifika ktk utekelezaji hujitokeza tofauti na hivyo kukwamisha michakato yake.
 
[JFMP3][MENTION][/MENTION][/JFMP3]
Wanasiasa wengi mule bungeni hasa chadema ni bule kabisa hatuwezi kuendesha bunge kwa vurugu.

Wewe ni mmoja wa wanaoogopa kujadiliwa nini mkuu? wewe unaona mambo yanaenda sawa? au ulikuwa umelala ndo umeamka?
 
Vyombo tunavyo na sheria imetungwa na haohao wabunge sasa leo mjadili ili iweje? Mbona bunge mnataka kuhodhi madaraka ya vyombo vingine?
 
Pima hoja za wabunge wa CDM na ulinganishe na zile za nyinyiemu na uangalie upande alioegemea spika ndipo utaelewa,vinginevyo utabaki kulishwa sumu kwa propaganda za kijinga na sera mufilisi.
 
mnyika naye kachoka alianza moto karudi baridi hata kanuni za bunge zinamzingua sijui bungeni kafuata nini au kafuata kuomba muongozo,kutoa taarifa na kuhusu utaratibu.
Kwa kawaida mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiri huwa inakuwa vigumu kumuelewa mtu mwenye fikra za juu kama za mheshimiwa Mnyika! ni sawa sawa na mtoto wa darasa la kwanza inavyokuwa vigumu kuelewa hisabati za darasa la saba. Pole sana kaka!
 
Spika hawezi kuruhusu wajadili mambo ya utekaji kwa kuwa wao ndo watekaji wenyewe,sasa sijui watajadili nini!

Mnyika kama anataka muongozo na amuulize slaa na Lwakatare

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
inaonesha maccm msivo na akili hata kwenye jamii forum hoja zenu ni mizaa tu hapo ndo mmetumia akili zenu zote et!
ccm.........................mh.!
 
mnyika naye kachoka alianza moto karudi baridi hata kanuni za bunge zinamzingua sijui bungeni kafuata nini au kafuata kuomba muongozo,kutoa taarifa na kuhusu utaratibu.

Unajua kanuni za bunge?tafuta kanunu usime,na inavyoonekana hukumsikiliza wakati anaomba mwongozo,na wala hujui kama ali-quote kanuni za bunge vilevile.kwa kuwa ilikuwa jioni na huenda ulikuwa hujafikisha idadi ya post ambazo zingekuhalalishia malipo ya buku saba pale Lumumba ndio maana umekurupuka mkuu.
Waulize wabunge wa maccm wanajua,ni kama simba mnyama wa porini huwa akiunguruma hata ndege huwa wananyamaza kusikiliza.Mnyika ni zaidi ya unavyomfikiria.
 
Back
Top Bottom