Sina uhakika sana na huko unakoishi lakini mi nakumbuka wakati niko primary school walikuwa wa kawaida kabisa hasa kipindi cha mvua na unajua Dar mvua ikinyesha tu ni madimbwi. Akikung'ata huwezi kumvuta mpaka umchome moto au umpige kibao cha nguvu ndo anaachia ukimvuta anajita tu hatoki. Kiswahili anaitwa RubaAnything crawling: mijusi hata ile ya ndani sijui. Chura niliacha kuogopa high skuli shauri ya kupasua. Ila reptiles wote kwa ujumla, kenge, kinyonga, mamba! I can imagine them crawling over my skin.
Kuna wale blood suckers weusi wako kama konokono, kwenye Rambo movie moja walimtambaa mwili mzima. Hao hata kuwaona kwenye tv staki japo sijawahi kukutana nao live.
Hao pets wengine balaa tupu nimeona wazungu wanakuwa na python eti pet kha! A gud thing ni kwamba mwisho wa siku huwa wanawaua wenyewe............some stuff are not meant to live with people bhanaMi napenda reptiles, niseme tu ukweli. when I was young (or younger... lol) nilikua na pet kinyonga for almost 4 years (a male)... alafu nilipoenda University nikashindwa kuenda nae nikamrudisha porini. Hata hivo najua ningesikitika sana kuiona ikifa (life spine ni 5 years).
We umeanza kuwa kama Kongosho sasa
Kuna wanyama wana mikia mbele. Hao ndio nawaogopa maana wapo tofauti na wanyama wenzao.
We umeanza kuwa kama Kongosho sasa
Unawaogopa lakini kila siku uko nao.
Bora wapende tu
Kuna wanyama wana mikia mbele. Hao ndio nawaogopa maana wapo tofauti na wanyama wenzao.
wale ambao wako kama ndama wakikasilika mikia inasimama?
Yuko kama wewe, ila anadai we ndo umepinda siku nyingi ye hajakufikia
Teh Teh..........Haya KUMRADHI!