Mnyama/mdudu gani unamuogopa/humpendi?

EJM_

JF-Expert Member
Jul 8, 2011
3,836
2,091
Kuna mnyama au mdudu fulani humpendi/unamuogopa? Kwanini?

Mi simpendi nyoka na namuogopa nyoka yoyote awe mdogo awe mkubwa awe na sumu asiwe na sumu mi nyoka ni nyoka tu namuogopa na simpend
i
 
Chura na konokono. . . ndo maana sipendi sana kipindi cha mvua.
 
Back
Top Bottom