Vigezo gani vilitumika kumchagua Mnyama kondoo kama alama ya waumini?

thatHUMBLEguy

JF-Expert Member
Nov 25, 2023
223
522
Ni kawaida kwa taasisi au watu kutumia wanyama kuvumisha sifa za taasisi au watu hao. Wanapochagua, husadifisha sifa za mnyama huyo na dhima au values za wahusika.

Mfano, club ya Liverpool hutumia Jogoo, Taifa la Urusi hutumia mnyama Dubu, Fani ya utabibu ametumika Nyoka.

Nimekuu nikijiuliza, kwanini waumini (hasa wa kikristo), Ukristo umetumia mnyama Kondoo kama alama yao. Je, vigezo vipi vilitumika?
 
Ni kawaida kwa taasisi au watu kutumia wanyama kuvumisha sifa za taasisi au watu hao. Wanapochagua, husadifisha sifa za mnyama huyo na dhima au values za wahusika.

Mfano, club ya Liverpool hutumia Jogoo, Taifa la Urusi hutumia mnyama Dubu, Fani ya utabibu ametumika Nyoka.

Nimekuu nikijiuliza, kwanini waumini (hasa wa kikristo), Ukristo umetumia mnyama Kondoo kama alama yao. Je, vigezo vipi vilitumika?
Kwenye utabibu yule sio nyoka,ni mnyoo na ile fimbo ndio iliyotumika kumtolea...ni somo hilo Parasitology.
 
Back
Top Bottom