Wewe ni wa veta tuu katafute kitambaa cha blue ushonee suruali na shati jeupe ukashone uniform. Maana hamna namna.
Inawezekana mkuu.
Put an intention to it.
Ukweli wa dizaini hii watz huwa hatutaki kuusikiaWewe ni wa veta tuu katafute kitambaa cha blue ushonee suruali na shati jeupe ukashone uniform. Maana hamna namna.
Kusema tu una elimu ya form four haisaidii ata mwenye Zero nae ana elimu ya form four, weka kwanza matokeo yako ndio utapata ushaurikheri ya mwaka mpya wanajamvi.
nina ndugu yupo U.S nataka niende huko ila napenda kama nikienda basi niende nikasome katika fani ninayo ipenda yaani mechanics.sasa sijui kwa elimu yangu itaewezekana au nibaki bongo tu nikasome veta.
Kusema tu una elimu ya form four haisaidii ata mwenye Zero nae ana elimu ya form four, weka kwanza matokeo yako ndio utapata ushauri
Kama unaweza kupata admission kwenye colleges zinazotoa course unayopenda nenda.
Ina ningekusahauri usome Electrical and Electronics Engineering