Chesco mzee wa matundas chunya. Ndio wewe?WAdau Nipo mzima wa afya njema tuu tuwaailiane tuu hata hapa jamiiforums ChescoMatunda
Binadamu MashakaUna umri gani?
Umewahi kuwasikia watu hawa?
1. Bokoman Mkongoman
2. Limonga Justin Limonga
3. Chidi chidi Chitenda
3. Wajadi Fundi
4. Mwalimu Mashaka Sabuni
5. Alafa Kapilima
6. Thomas Mushi Kimboka
Na Zakaria Ndemfoo wakiwa safarini kuelekea Mahuta Newala?
mkuu umenivunja mbavu..Kulikuwa kuna Jumanne Sebarua Tingisha, Mahoo John Nguma, Zakaria Ndemfoo....
Alafu kuna wale wanaotumaga maoni BBC Swahili...unakuta eti Mtu anampa ushauri Bashar Al Assad...sasa huwa najiuliza ujumbe huwa unafikishwa kwa walengwa?
Enzi hizo radio ni RTD pekee na watangazaji kama Malima Ndelema, Hendrick Michael Libuda, Edna Rajabu Ni. Vipindi Mchana mwema, wakati wa kazi, jioni njema, club raha leo nk.Una umri gani?
Umewahi kuwasikia watu hawa?
1. Bokoman Mkongoman
2. Limonga Justin Limonga
3. Chidi chidi Chitenda
3. Wajadi Fundi
4. Mwalimu Mashaka Sabuni
5. Alafa Kapilima
6. Thomas Mushi Kimboka
Na Zakaria Ndemfoo wakiwa safarini kuelekea Mahuta Newala?
Mhm labda ni watu tofauti!Limonga ninayemjua ni mtangazaji wa Uhuru fm.Huyo Limonga na chidi chidi chitenda WaPo tegeta kule Dar hao wasambaa,, mmoja yupo kwenye maroli yetu ya mchanga ni fundi, ,,,na Rafiki yao mzee Litumbi wa mtaa wa msichoke, ,, kipindi iko 1997 Simu za kiganjani hamna kivile zaidi ya TTCL tu
Pagija wa pagija
mku unaniacha hoiHahahaa...utasikia ewe trump kwanini unawatesa waislmu??
Wale jamaa ni noma, yaani utasikia wanamchimba biti hata Kim Jong-un.mkuu umenivunja mbavu..
Walikua wa asound sanaUsimwache Papaa Osama kanda ya kati Dodoma.Pia ni dhambi kubwa kumsahau Ima kulaya na ndugu yake
Kama ni mbwembwe basi hakuna aliyewahi wafikia wazee wa niambriiiiieeee ...wazee wa koma koma sela sela nukta nuta
Story kidogo kuhusu hawa jamaa ni siku walipomchezee mtu mzima Charles Hilary akiwa redio one
Alipiga simu Muhiru Obare na kuweka kikorombwezo Niambriiiiiiieeeeee ,Charles Hilary akakasirika sana akamkandia kiaina na akaweka wazi kuwa hapendi hiyo tabia ya watu kutamka hivyo (Niambriiiieee!). Akapiga simu Mkaudi Mkaudo Tingisha naye akaweka vikorombwezo hivyo hivyo Charles akamkatia cm akachukia sana . Mtu wa tatu kupiga simu ni Ima Kulaya, akatuma salama kama kawaida ila mwisho akamwambia Charles ;
IMA KULAYA: Brother Charles eeh!
CHARLES HILARY: Ndio Ima kulaya
IMA KULAYA: Watu wengine sio wastaarabu kabisa
CHARLES HILARY: Kweli kabisa Ima kulaya,kwa nini wasiige watu wastaarabu kama wewe!
IMA KULAYA: Huwa nawachukia sana hawa jamaa wanaosema Niambriiiiiiiiiiiiiiiiieeeeeeiii
Charles Hilary alicheka sana mwenyewe kwani Imma naye alifanya yale yale ila kwa style nyingine kwani naye aliivuta zaidi kuzidi wale wa mwanzo. Tokea hapo ikabidi awe anawaacha wazee wa niambriiiieeee koma koma sela sela nukta nukta.
Mkasa mwingine ulikuwa ule wa kutuma salamu kwa zaidi ya watu 3, Charles Hilary aliwashindwa kabisa jamaa kwani kitendo cha kupokea simu tu, mtu kama Papaa Osama alikuwa ameshataja watu kama 6. Walikwa na swaga za aina yake
Charles Hilary : Karibu Papaa Osama ,tuma salaam
Papaa Osama : Charles Hilary! Nipo na Mwiri Obare,Mamka Mushi,Chesco Mzee wa Matunda wakusalimu sana.Chidi Chitenda anamuuguza Maalim Litumbi hivyo hatafika . Kaka Charles Natuma Salaam kwa watu watatu kama ifuatavyo moja Chivalavala akiwa pale kwa Makabureta Pili kwa David Bekham Onana na Mwisho kwa Mohamed Kiyai yai ambaye ametapeliwa saa na Baba Dula 1.
Charles Hilary : Haya bwana..!
Kuwadhibiti ilikuwa inashindikana kwani walikuwa wanaspeed kali sana hawa jamaa katika kutaja majina haswa Muhiri Obare na Limonga J. Limonga
cc ChescoMatunda
Muhiri obare...utasikia NaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaammmmmmMbona wa mwanza hamuwataji
Mfano
Muhili obale
Pagija
Hangaya
Aaron Makulilo Dr
Beka wa Bengali
Sita tuma Kubanda
Basu basanga Basu
Emannuel Barnabas Masagida