Mnawakumbuka watuma salamu maarufu redioni wa enzi hizo? Tujikumbushe kwa kuwataja...

Wapo wengi **** yile chesco mwana wa mwaalim litumbi kuna wale walokuwa wanajiita wataalam fulani kama mtaalam wa kurwkebisha miguu ya mtu
Mtaalaam wa kupiga penat huku amefumba macho na yule mtaalam wa kunyoa upara
Kuna mwingine alikuwa anaitwa mtaalamu wa kujaza vocha bila kukwangua!!
 
Unaongea na kung'ombe chacha mrema sukali mhiliobare ukipenda unaniita mhilio bare...,....

Unaongea na Lawana Nsonda kutoka makongorosi chunya, baba eeeee baba.

Fred Majasho kutoka Mbalizi Mbeya
 
yuko wapi huyu mtu alikuwa ni mtuma salamu maarufu sana Radio Free Africa hapo zamani kidogo, huyu jamaa alikuwa ana nifurahisha sana na ule muitikio wake wa "Naaaaaaaaaaaaaam!!"

Kipindi hicho Simu ya Mwili Obare ikipokelewa ilikuwa inakuwa hivi:-

1. MTAMGAZAJI: Halloo naongea na nani?

2. MWILI OBARE: Unaongea na kung'ombe Chacha Mrema Muhiri Obare

3. MTANGAZAJI: Ahaah! Mwili Obare

4.MWILI OBARE: NAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAMMMMMM!!!

Sasa hapo kwenye huo muitikio wa "Naaaaaaaaaaaaaaaamm!!!" ndio alipokuwa anajizolea umaruufu kwa wasikilizaji, enzi hizo nilikuwa sizimi radio/silali nilikuwa nasubili hadi jamaa apige simu kwenye radio.

huyu jamaa alivuma sana kipindi hicho sijui yupo wapi siku hizi.

.....Tukumbushane Kama unawakumbuka wengine walio kuwa maarufu kwa kutuma salamu enzi hizo kwenye radio (yoyote ile) unaweza kuwataja hapa....
Umenikumbusha mbali sana!! Mkuu kuna mwingine alikuwa anaitwa SUZY NGODOKI.
 
yuko wapi huyu mtu alikuwa ni mtuma salamu maarufu sana Radio Free Africa hapo zamani kidogo, huyu jamaa alikuwa ana nifurahisha sana na ule muitikio wake wa "Naaaaaaaaaaaaaam!!"

Kipindi hicho Simu ya Mwili Obare ikipokelewa ilikuwa inakuwa hivi:-

1. MTAMGAZAJI: Halloo naongea na nani?

2. MWILI OBARE: Unaongea na kung'ombe Chacha Mrema Muhiri Obare

3. MTANGAZAJI: Ahaah! Mwili Obare

4.MWILI OBARE: NAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAMMMMMM!!!

Sasa hapo kwenye huo muitikio wa "Naaaaaaaaaaaaaaaamm!!!" ndio alipokuwa anajizolea umaruufu kwa wasikilizaji, enzi hizo nilikuwa sizimi radio/silali nilikuwa nasubili hadi jamaa apige simu kwenye radio.

huyu jamaa alivuma sana kipindi hicho sijui yupo wapi siku hizi.

.....Tukumbushane Kama unawakumbuka wengine walio kuwa maarufu kwa kutuma salamu enzi hizo kwenye radio (yoyote ile) unaweza kuwataja hapa....
Mnamkumbuka Basu Basanga Basu . Hawa jamaa ndio walikuwa celebrit wa kipind kile. Baada ya kusikiliza tano za moto na fred war
 
Kungombe .... chacha.....mrema..........sukari ..... muriri ......obare;;;;;;;;; muriri onare''''''' Naaaaam.
Jamaa alikuwa na kaduka hapo stendi ya Igoma Mwanza sijui kama bado yupo
tena alikuwa ameandika hilo jina kwenye duka lake hilo mkuu,ukiwa unaenda town lhs
 
Alikua nooma saana,hapo ukute Fredwa kwenye Sindano 5 za moto au Wikend Friva ndo kapokea simu yake ni lazima ucheke. .
Hahaaaaa Fred naona kama amepunguza vituko kila obareeeeeee bwana alikuwa na kihiace route ta town mwanza to sehemu moja kilishika moto Jirani na shule ya msingi Gedeli
 
aiseh kumbe wapo wengi hivi...ila tatizo utakuta walikuwa maarufu sana lakini hali zao za kiuchumi zilikuwa haziendani na umaarufu wao.
Kosa sio lao. Kosa ni letu kudhani ukiwa maarufu lazima uwe tajiri. Unamkumbuka matonya omba omba?
 
Mimi ni Gerge maratuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu wa itviiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,musomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!
 
Zakaria Ndemfoo Babati Arusha heeee heee wote humu hamumjui ni wa nineteen kweusi!!!
Pale Babati alipakimbia akahamia kwao huko machame.. Huyu jamaa stand enzi hizo ipo pale karibu na Motel paa paa alikuwa noma..
 
Mimi ni Gerge maratuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu wa itviiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,musomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!
naye huyo yupo vizuri sana...nampendaga anapomalizia mwishoni hapo ingawa yeye ni reporter wa itv
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom