Mnawakumbuka watuma salamu maarufu redioni wa enzi hizo? Tujikumbushe kwa kuwataja...

Hahaha Muhiri Obare……. NAAAAAAAAAAAAAAAAAAAMMMM…..

Ila namkumbuka dada mmoja alikuwa anaitwa MANKA MUSHI, alikua anapiga simu sana Radio One.

Hizi hobbies nyingine raha sana kwetu hahahah
 
Sory mkuu una undugu na kashinde au ni wewe umebadili jina

Kasinde is also know as Kasie.. . So Kasie is Kasinde and Kasinde is Kasie.. ..

Mbona nilishaweka bandiko hapa kuwa Kasie is back... hukuliona?
 
Kasinde is also know as Kasie.. . So Kasie is Kasinde and Kasinde is Kasie.. ..

Mbona nilishaweka bandiko hapa kuwa Kasie is back... hukuliona?
Sikuliona mkuu nadhani kipindi niko riarani **** mda sikuingia humu asante kwa ufafanuzi
 
Ngoswe Mbebha,Papa Osama bingwa wa mtandao kanda ya kati Dodoma,Mzee Lawena Nsonda wa makongorosi chunya Mbeya
 
Mmmh, umenikumbusha mbali sanaaa! Muhiri Obare, Naaaaaaaaaaaaaaaaaaam, HUYU jamaa alikuwa mfanyabiashara minadani / magulioni na inasemekana alikuwa na duka Igoma, pia alikuwa na hiace mbili lakini moja ilipiga chafya ya moto ikateketea!!
LABDA UCHUMI ULISHAYUMBA HAKUWA NA BIMA NK
 
Una umri gani?
Umewahi kuwasikia watu hawa?
1. Bokoman Mkongoman
2. Limonga Justin Limonga
3. Chidi chidi Chitenda
3. Wajadi Fundi
4. Mwalimu Mashaka Sabuni
5. Alafa Kapilima
6. Thomas Mushi Kimboka
Na Zakaria Ndemfoo wakiwa safarini kuelekea Mahuta Newala?
Watangazaji nao walikuwa wanapamba "Limoooooonga Jaaaastin Limooonga"
 
Kulikuwa kuna Jumanne Sebarua Tingisha, Mahoo John Nguma, Zakaria Ndemfoo....

Alafu kuna wale wanaotumaga maoni BBC Swahili...unakuta eti Mtu anampa ushauri Bashar Al Assad...sasa huwa najiuliza ujumbe huwa unafikishwa kwa walengwa?
 
Kulikuwa kuna Jumanne Sebarua Tingisha, Mahoo John Nguma, Zakaria Ndemfoo....

Alafu kuna wale wanaotumaga maoni BBC Swahili...unakuta eti Mtu anampa ushauri Bashar Al Assad...sasa huwa najiuliza ujumbe huwa unafikishwa kwa walengwa?
Ahaahaaaaaaa halafu wanabidii kinoma
 
Hao akina Manka Mushi na Hussein Makabuleta wamekuja kipindi hiki cha salam kwa njia ya simu...
Mi nazungumzia enzi zileee za post kadi kipindi cha Jambo, Mchana Mwema, Salam za mchana, Shambani, na pole kwa kazi...
Hapana mkuu hao ni kipindi cha post card
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom