Mnaowaita Mabeberu wamekohoa sasa

Mimi natamani itumike mbinu yoyote ile ili CCM ing'oke madarakani.

Itoke tu kwa kweli.
 
Mimi natamani itumike mbinu yoyote ile ili CCM ing'oke madarakani.

Itoke tu kwa kweli.
Wanaondoka,hawa wameumiza Sana watu, eti huyu huyu anaezunguka nchi nzima na kupigia watu magoti ndio huyo huyo kaweka watoto wa watu gerezani kisa walimkosoa miez nenda rudi Halafu anazunguka Kwa hao hao Ndugu zake kuwaomba wa mchague ili baada Ya kumchagua awamalizie wote waliobaki Kwa kuwasweka ndani
 
Wakuu, nimeona mjadala wa baraza la Congress la Marekani likiijadili Tanzania Jana na hapo hapo Leo ubaloz wa Tanzania umetoa statement ya kuonya wale woote watakaokuwa chanzo cha vurugu na kuharibu Uchaguzi.

Wakuu wale ni MABEBERU tujitahid Sana kukwepa uvunjivu wa haki wale wenzetu ukisikiliza Kwa makini utagundua kuwa wanafuatilia kila kinachopangwa na kinachofanyika na wanadata zooote kuunganisha na hii statement ya ubalozi tunatakiwa tujiangalie kuna mipango inapangwa Juu Ya wale watakao kuwa chanzo cha kuvuruga Uchaguzi Kwa kunyima haki za watu, angalia ile statements Ya Leo imesema Kwa kushirikiana na nchi za kidemocrasia watafikiria hatua stahiki, hilo neno ni kubwa na linaonesha kuwa kuna mipango mikubwa inapangwa na nchi nyingi za ulaya kutaka kumwadibu yoyote atakaekuwa chanzo cha kunyima haki Au kupora haki najua wapo watakaosema ah wapi ah wapi Lakini kumbuka kuwa, hata hizo Data za Uchaguzi mlizoziweka kwenye hiyo laptop yenu wanaziona na wao ndio wanaokurusu usiangalie na kuziedit

Mkiambiwa kuwa lisu ni mpango wa MUNGU muwe mnaelewa, kila mbabe na mbabe wake

Hivi mnajua hilo neno walilosema kuwa kwakushirikiana na nchi zenye democracy mnajua maaana yake? Wameishajipanga kumwadibu yoyote atakaepora haki, hivi nyie mnaijua ile kampuni Ya kisheria inayomsimamia lisu? Ile inamtandao kwenye nchi zote za ulaya na inaweza kushawishi chochote kwenye nchi yoyote na nyie hamjui kudhungu, wakiongea na watu wenye ushawishi Kwenye hizo nchi mtashangaaa mambo yanakuwa mambo haya endeleeni kusema kuwa msiponichagua.

Endeleeeni kusema kuwa ole wenu msiponichagua, wakuu msicheze na Yule Robert wa ile kampuni Ya kisheria Ya kimataifa, Yule ana Wateja wake ambao ni watoa maaamuz huko ulaya, ana Wateja wake ambao ni wajumbe kwenye vyombo vya maaamuzi huko ulaya na Marekani atawashawishi watapendekeza Halafu serikali zao zitabaki na issue ya utekelezaji huku mtaanza kukumbiana mmoja baada Ya mwingne mwisho mnajikuta mnaanza nilikuwa natekeleza sheria, Mara niliamlishwa na wakubwa Wangu, na mkumbuke kuwa wale wanaweza kuamua wakasema sisi tunamtambua fulani ndio rais wa Tanzania haya mtaenda wapi? Wakisema hivyo mtaenda wapi? Maanaa watakachofanya ni kukuondoa wewe Au kuelekeza misaada yoote Kwa huyo wanaemtambua.
Kuna vijitu vya ccm vikisikia,mabeberu,vinafikiri ni nchi Kama Uganda,
Hao wazungu wakiamua wake kumchukua jiwe hapa bongo,hakuna kinyangarika yoyote atakaye leta fyoko,sio Jwtz,sio PT,Wala TISS,
Watamchukua kiuraini kabisa,wajifunze kwa Noliega,Milosoveck,Ghadafi,
 
Tuache utani mzungu hajawahi kuwa na mapenzi na muafrika hata simu moja
Na ikitokea basis yupo kwa ajili ya opportunity ..acha tuone

Tukija kushtuka
 
Kuanzia leo tambua kabisa ss hatupangiwi cha kufanya,hatuogopi beberu wala jike. ss ni masikini jeuri!
 
Hatupagiwi tutafuata sheria zetu full stop. Kama wewe unawaogopa sana lala ndani sisi tarehe 28/10/2020 tunaenda kupiga kura kumpigia Rais wetu mpendwa Magufuli sasa wao wampigie Msaliti kibaraka wao Lissu.
Hata chupi ulovaa ni mtumba kutoka Huko hata Arvs unazotumia zinatoka huko ,chandarua anachotumia babaako kinatoka huko ya we we ni kima lazima uwe mstaarabu hutaki utaoneshwa cha moto
 
Kwamba lissu aba haki ya kuongoza nchi na si wengine???
 
Wakuu, nimeona mjadala wa baraza la Congress la Marekani likiijadili Tanzania Jana na hapo hapo Leo ubaloz wa Tanzania umetoa statement ya kuonya wale woote watakaokuwa chanzo cha vurugu na kuharibu Uchaguzi.

Wakuu wale ni MABEBERU tujitahid Sana kukwepa uvunjivu wa haki wale wenzetu ukisikiliza Kwa makini utagundua kuwa wanafuatilia kila kinachopangwa na kinachofanyika na wanadata zooote kuunganisha na hii statement ya ubalozi tunatakiwa tujiangalie kuna mipango inapangwa Juu Ya wale watakao kuwa chanzo cha kuvuruga Uchaguzi Kwa kunyima haki za watu, angalia ile statements Ya Leo imesema Kwa kushirikiana na nchi za kidemocrasia watafikiria hatua stahiki, hilo neno ni kubwa na linaonesha kuwa kuna mipango mikubwa inapangwa na nchi nyingi za ulaya kutaka kumwadibu yoyote atakaekuwa chanzo cha kunyima haki Au kupora haki najua wapo watakaosema ah wapi ah wapi Lakini kumbuka kuwa, hata hizo Data za Uchaguzi mlizoziweka kwenye hiyo laptop yenu wanaziona na wao ndio wanaokurusu usiangalie na kuziedit

Mkiambiwa kuwa lisu ni mpango wa MUNGU muwe mnaelewa, kila mbabe na mbabe wake

Hivi mnajua hilo neno walilosema kuwa kwakushirikiana na nchi zenye democracy mnajua maaana yake? Wameishajipanga kumwadibu yoyote atakaepora haki, hivi nyie mnaijua ile kampuni Ya kisheria inayomsimamia lisu? Ile inamtandao kwenye nchi zote za ulaya na inaweza kushawishi chochote kwenye nchi yoyote na nyie hamjui kudhungu, wakiongea na watu wenye ushawishi Kwenye hizo nchi mtashangaaa mambo yanakuwa mambo haya endeleeni kusema kuwa msiponichagua.

Endeleeeni kusema kuwa ole wenu msiponichagua, wakuu msicheze na Yule Robert wa ile kampuni Ya kisheria Ya kimataifa, Yule ana Wateja wake ambao ni watoa maaamuz huko ulaya, ana Wateja wake ambao ni wajumbe kwenye vyombo vya maaamuzi huko ulaya na Marekani atawashawishi watapendekeza Halafu serikali zao zitabaki na issue ya utekelezaji huku mtaanza kukumbiana mmoja baada Ya mwingne mwisho mnajikuta mnaanza nilikuwa natekeleza sheria, Mara niliamlishwa na wakubwa Wangu, na mkumbuke kuwa wale wanaweza kuamua wakasema sisi tunamtambua fulani ndio rais wa Tanzania haya mtaenda wapi? Wakisema hivyo mtaenda wapi? Maanaa watakachofanya ni kukuondoa wewe Au kuelekeza misaada yoote Kwa huyo wanaemtambua.
G
Wazungu siku zote nikuona waafrika tukigombana, wanasema Africa hakuna democrasia wao huko kwao democrasia ipo???? Wamekuwa wavurugaji wakubwa wa amani kwenye nchi ndogo ndogo angalia kule uarabuni,afrika magharibi,kasiskazini mwa Africa Libya, China nakadhalika.....wazungu siyo watu wazuri ni wanafiki sana
 
Jiwe asituletee vikwazo akishindwa asepe,Nyerere aliiacha nchi tena alisalimu kwa mabeberu baada ya majaribio kadhaa ya kumpindua ambayo ilikuwa alarm tu atakuwa huyu? Nachowapendea mabeberu ni kuwa nyuma ya yule ambae watu wanamtaka.
Bora kuwa mshirika wa mabeberu Kuliko kuwa mshirika wa mpagazi China.Jk alikuwa upande wa mabeberu ndio maana nchi ilikuwa vizuri miradi kila kona yaani kazi na Bata.Tupate shida wakati wa ukoloni na sasa tupate shida?
 
Tatizo Lissu alishaji'expose Kwa mabeberu Ni kama alienda kuwaita Vile

Haya Sasa Nchi yetu Lakini Kama tumepangishwa vile
Mkifeli kwenye box kubakini mkifanya upuuzi wenu wa siku zote mtasingizia Lisu Hadi huko jela.Tzn sio Venezuela au wapi msitupeleke Zimbabwe hatutawaelewa
 
Chadema vibaraka wa mabeberu, mnajiuza kwao b
Punguani kama nyie ndio mnamtia mwenyekiti wenu uwendawazimu
Mwenyekiti wenu anayekula pesa za kampeni, huku anawachangisha watu wanyonge sio punguani yule. Chama chake kimejaa mapunguani na mapunga ya kutosha. Octo 28,tunakifuta rasmi kwenye ulimwengu wa siasa hili genge la wapigaji.
 
Jiwe asituletee vikwazo akishindwa asepe,Nyerere aliiacha nchi tena alisalimu kwa mabeberu baada ya majaribio kadhaa ya kumpindua ambayo ilikuwa alarm tu atakuwa huyu? Nachowapendea mabeberu ni kuwa nyuma ya yule ambae watu wanamtaka.
Bora kuwa mshirika wa mabeberu Kuliko kuwa mshirika wa mpagazi China.Jk alikuwa upande wa mabeberu ndio maana nchi ilikuwa vizuri miradi kila kona yaani kazi na Bata.Tupate shida wakati wa ukoloni na sasa tupate shida?
Wa kuishinda ccm nani?. Hawa saccos, chama cha baba mkwe?. Ha ha ha ikulu mtaiona kwenye TV. Mtaishia kunawa tu, kura subirini 2040.
 
Wakuu, nimeona mjadala wa baraza la Congress la Marekani likiijadili Tanzania Jana na hapo hapo Leo ubaloz wa Tanzania umetoa statement ya kuonya wale woote watakaokuwa chanzo cha vurugu na kuharibu Uchaguzi.

Wakuu wale ni MABEBERU tujitahid Sana kukwepa uvunjivu wa haki wale wenzetu ukisikiliza Kwa makini utagundua kuwa wanafuatilia kila kinachopangwa na kinachofanyika na wanadata zooote kuunganisha na hii statement ya ubalozi tunatakiwa tujiangalie kuna mipango inapangwa Juu Ya wale watakao kuwa chanzo cha kuvuruga Uchaguzi Kwa kunyima haki za watu, angalia ile statements Ya Leo imesema Kwa kushirikiana na nchi za kidemocrasia watafikiria hatua stahiki, hilo neno ni kubwa na linaonesha kuwa kuna mipango mikubwa inapangwa na nchi nyingi za ulaya kutaka kumwadibu yoyote atakaekuwa chanzo cha kunyima haki Au kupora haki najua wapo watakaosema ah wapi ah wapi Lakini kumbuka kuwa, hata hizo Data za Uchaguzi mlizoziweka kwenye hiyo laptop yenu wanaziona na wao ndio wanaokurusu usiangalie na kuziedit

Mkiambiwa kuwa lisu ni mpango wa MUNGU muwe mnaelewa, kila mbabe na mbabe wake

Hivi mnajua hilo neno walilosema kuwa kwakushirikiana na nchi zenye democracy mnajua maaana yake? Wameishajipanga kumwadibu yoyote atakaepora haki, hivi nyie mnaijua ile kampuni Ya kisheria inayomsimamia lisu? Ile inamtandao kwenye nchi zote za ulaya na inaweza kushawishi chochote kwenye nchi yoyote na nyie hamjui kudhungu, wakiongea na watu wenye ushawishi Kwenye hizo nchi mtashangaaa mambo yanakuwa mambo haya endeleeni kusema kuwa msiponichagua.

Endeleeeni kusema kuwa ole wenu msiponichagua, wakuu msicheze na Yule Robert wa ile kampuni Ya kisheria Ya kimataifa, Yule ana Wateja wake ambao ni watoa maaamuz huko ulaya, ana Wateja wake ambao ni wajumbe kwenye vyombo vya maaamuzi huko ulaya na Marekani atawashawishi watapendekeza Halafu serikali zao zitabaki na issue ya utekelezaji huku mtaanza kukumbiana mmoja baada Ya mwingne mwisho mnajikuta mnaanza nilikuwa natekeleza sheria, Mara niliamlishwa na wakubwa Wangu, na mkumbuke kuwa wale wanaweza kuamua wakasema sisi tunamtambua fulani ndio rais wa Tanzania haya mtaenda wapi? Wakisema hivyo mtaenda wapi? Maanaa watakachofanya ni kukuondoa wewe Au kuelekeza misaada yoote Kwa huyo wanaemtambua.
Tembea kifua mbere!
Wasitutishe bwana!
 
jamaa wanafuatilia kwa karibu sana yanayojiri Tanzania. wacha tu Jiwe aendelee kujitoa ufahamu.
Watamfanya nini? Hao mnawaogopa nyie tu mnaowalamba miguu......Lissu tarehe 28 anakalishwa mtaishia kutoa povu tu maisha yanasonga
 
Back
Top Bottom