Mnaowaita Mabeberu wamekohoa sasa

Yaani eti sheria zetu halali zilizotungwa na bunge letu tukufu zivunjwe kwa kisingizio cha Uhuru wa kidemokrasia?

Mwambieni lissu ameula wa chuya,atatandikwa hadi ashindwe kupumua
 
Yaani eti sheria zetu halali zilizotungwa na bunge letu tukufu zivunjwe kwa kisingizio cha Uhuru wa kidemokrasia?

Mwambieni lissu ameula wa chuya,atatandikwa hadi ashindwe kupumua
Ndipo mtajua definition ya entreprenyaaaaaaa.
 
Wakuu, nimeona mjadala wa baraza la Congress la Marekani likiijadili Tanzania Jana na hapo hapo Leo ubaloz wa Tanzania umetoa statement ya kuonya wale woote watakaokuwa chanzo cha vurugu na kuharibu Uchaguzi.

Wakuu wale ni MABEBERU tujitahid Sana kukwepa uvunjivu wa haki wale wenzetu ukisikiliza Kwa makini utagundua kuwa wanafuatilia kila kinachopangwa na kinachofanyika na wanadata zooote kuunganisha na hii statement ya ubalozi tunatakiwa tujiangalie kuna mipango inapangwa Juu Ya wale watakao kuwa chanzo cha kuvuruga Uchaguzi Kwa kunyima haki za watu, angalia ile statements Ya Leo imesema Kwa kushirikiana na nchi za kidemocrasia watafikiria hatua stahiki, hilo neno ni kubwa na linaonesha kuwa kuna mipango mikubwa inapangwa na nchi nyingi za ulaya kutaka kumwadibu yoyote atakaekuwa chanzo cha kunyima haki Au kupora haki najua wapo watakaosema ah wapi ah wapi Lakini kumbuka kuwa, hata hizo Data za Uchaguzi mlizoziweka kwenye hiyo laptop yenu wanaziona na wao ndio wanaokurusu usiangalie na kuziedit.

Mkiambiwa kuwa lisu ni mpango wa MUNGU muwe mnaelewa, kila mbabe na mbabe wake.

Hivi mnajua hilo neno walilosema kuwa kwakushirikiana na nchi zenye democracy mnajua maaana yake? Wameishajipanga kumwadibu yoyote atakaepora haki, hivi nyie mnaijua ile kampuni Ya kisheria inayomsimamia lisu? Ile inamtandao kwenye nchi zote za ulaya na inaweza kushawishi chochote kwenye nchi yoyote na nyie hamjui kudhungu, wakiongea na watu wenye ushawishi Kwenye hizo nchi mtashangaaa mambo yanakuwa mambo haya endeleeni kusema kuwa msiponichagua
Acha kushabikia fikra za kitumwa kwa kudhani ni ushindi. Jitambue na kataa upuuzi. Utambue ukoloni mambo leo ni nini.
 
Acha kushabikia fikra za kitumwa kwa kudhani ni ushindi. Jitambue na kataa upuuzi. Utambue ukoloni mambo leo ni nini.
Mimi ninachojua nikuwa Tanzania iko gizani, tena Giza totoro na ili ikombolewe lazima watokee MABEBERU tu kinyume cha hapo tutakwishaaaa
 
Wakuu, nimeona mjadala wa baraza la Congress la Marekani likiijadili Tanzania Jana na hapo hapo Leo ubaloz wa Tanzania umetoa statement ya kuonya wale woote watakaokuwa chanzo cha vurugu na kuharibu Uchaguzi.

Wakuu wale ni MABEBERU tujitahid Sana kukwepa uvunjivu wa haki wale wenzetu ukisikiliza Kwa makini utagundua kuwa wanafuatilia kila kinachopangwa na kinachofanyika na wanadata zooote kuunganisha na hii statement ya ubalozi tunatakiwa tujiangalie kuna mipango inapangwa Juu Ya wale watakao kuwa chanzo cha kuvuruga Uchaguzi Kwa kunyima haki za watu, angalia ile statements Ya Leo imesema Kwa kushirikiana na nchi za kidemocrasia watafikiria hatua stahiki, hilo neno ni kubwa na linaonesha kuwa kuna mipango mikubwa inapangwa na nchi nyingi za ulaya kutaka kumwadibu yoyote atakaekuwa chanzo cha kunyima haki Au kupora haki najua wapo watakaosema ah wapi ah wapi Lakini kumbuka kuwa, hata hizo Data za Uchaguzi mlizoziweka kwenye hiyo laptop yenu wanaziona na wao ndio wanaokurusu usiangalie na kuziedit

Mkiambiwa kuwa lisu ni mpango wa MUNGU muwe mnaelewa, kila mbabe na mbabe wake

Hivi mnajua hilo neno walilosema kuwa kwakushirikiana na nchi zenye democracy mnajua maaana yake? Wameishajipanga kumwadibu yoyote atakaepora haki, hivi nyie mnaijua ile kampuni Ya kisheria inayomsimamia lisu? Ile inamtandao kwenye nchi zote za ulaya na inaweza kushawishi chochote kwenye nchi yoyote na nyie hamjui kudhungu, wakiongea na watu wenye ushawishi Kwenye hizo nchi mtashangaaa mambo yanakuwa mambo haya endeleeni kusema kuwa msiponichagua
Endeleeeni kusema kuwa ole wenu msiponichagua, wakuu msicheze na Yule Robert wa ile kampuni Ya kisheria Ya kimataifa, Yule ana Wateja wake ambao ni watoa maaamuz huko ulaya, ana Wateja wake ambao ni wajumbe kwenye vyombo vya maaamuzi huko ulaya na Marekani atawashawishi watapendekeza Halafu serikali zao zitabaki na issue ya utekelezaji huku mtaanza kukumbiana mmoja baada Ya mwingne mwisho mnajikuta mnaanza nilikuwa natekeleza sheria, Mara niliamlishwa na wakubwa Wangu, na mkumbuke kuwa wale wanaweza kuamua wakasema sisi tunamtambua fulani ndio rais wa Tanzania haya mtaenda wapi? Wakisema hivyo mtaenda wapi? Maanaa watakachofanya ni kukuondoa wewe Au kuelekeza misaada yoote Kwa huyo wanaemtambua
Maccm ile formula kwamba ukitaka kumuua nyani mpe jina baya.

Sasa wakitaka kuwachafua wahisani au wadau wanaoitwa wa maendeleo wanawapa Jina la mabeberu ili wawachafue vizuri
 
Kinachoenda kutokea ni kuwa lisu ndio rais wa sita wa jamhuri Ya muungano wa Tanzania hata Kama tume haitamtangaza atatangazwa na wananchi na ukitaka kutembeza marisasi unadakwa na walioengeneza hayo marisasi hahahahaha inaenda kunoga hii
 
Baada Ya muda watu wataanza kumkimbia jiwe mmoja baada Ya mwingne watabaki wale wale wafia chama
 
We subiri uone kitakachomkuta huyu mbeligiji mweusi
Wait&see.
Screenshot_2020-10-01-17-36-59-1.jpg
 


Wakuu, nimeona mjadala wa baraza la Congress la Marekani likiijadili Tanzania Jana na hapo hapo Leo ubaloz wa Tanzania umetoa statement ya kuonya wale woote watakaokuwa chanzo cha vurugu na kuharibu Uchaguzi.

Wakuu wale ni MABEBERU tujitahid Sana kukwepa uvunjivu wa haki wale wenzetu ukisikiliza Kwa makini utagundua kuwa wanafuatilia kila kinachopangwa na kinachofanyika na wanadata zooote kuunganisha na hii statement ya ubalozi tunatakiwa tujiangalie kuna mipango inapangwa Juu Ya wale watakao kuwa chanzo cha kuvuruga Uchaguzi Kwa kunyima haki za watu, angalia ile statements Ya Leo imesema Kwa kushirikiana na nchi za kidemocrasia watafikiria hatua stahiki, hilo neno ni kubwa na linaonesha kuwa kuna mipango mikubwa inapangwa na nchi nyingi za ulaya kutaka kumwadibu yoyote atakaekuwa chanzo cha kunyima haki Au kupora haki najua wapo watakaosema ah wapi ah wapi Lakini kumbuka kuwa, hata hizo Data za Uchaguzi mlizoziweka kwenye hiyo laptop yenu wanaziona na wao ndio wanaokurusu usiangalie na kuziedit

Mkiambiwa kuwa lisu ni mpango wa MUNGU muwe mnaelewa, kila mbabe na mbabe wake

Hivi mnajua hilo neno walilosema kuwa kwakushirikiana na nchi zenye democracy mnajua maaana yake? Wameishajipanga kumwadibu yoyote atakaepora haki, hivi nyie mnaijua ile kampuni Ya kisheria inayomsimamia lisu? Ile inamtandao kwenye nchi zote za ulaya na inaweza kushawishi chochote kwenye nchi yoyote na nyie hamjui kudhungu, wakiongea na watu wenye ushawishi Kwenye hizo nchi mtashangaaa mambo yanakuwa mambo haya endeleeni kusema kuwa msiponichagua
Endeleeeni kusema kuwa ole wenu msiponichagua, wakuu msicheze na Yule Robert wa ile kampuni Ya kisheria Ya kimataifa, Yule ana Wateja wake ambao ni watoa maaamuz huko ulaya, ana Wateja wake ambao ni wajumbe kwenye vyombo vya maaamuzi huko ulaya na Marekani atawashawishi watapendekeza Halafu serikali zao zitabaki na issue ya utekelezaji huku mtaanza kukumbiana mmoja baada Ya mwingne mwisho mnajikuta mnaanza nilikuwa natekeleza sheria, Mara niliamlishwa na wakubwa Wangu, na mkumbuke kuwa wale wanaweza kuamua wakasema sisi tunamtambua fulani ndio rais wa Tanzania haya mtaenda wapi? Wakisema hivyo mtaenda wapi? Maanaa watakachofanya ni kukuondoa wewe Au kuelekeza misaada yoote Kwa huyo wanaemtambua
 
Mimi natamani itumike mbinu yoyote ile ili CCM ing'oke madarakani.

Itoke tu kwa kweli.
 
Mimi natamani itumike mbinu yoyote ile ili CCM ing'oke madarakani.

Itoke tu kwa kweli.
 
Back
Top Bottom