Mnaowaita Mabeberu wamekohoa sasa

Joyce joyce

JF-Expert Member
May 23, 2020
457
1,973
Wakuu, nimeona wanasema kuwa kesho wanapokea Mabilioni Ya fedha toka barrick Kama gawio, Mimi ninachojua Nikuwa serikali hiii Ya magufuli inaweza fanya chochote kile inaweza kuigiza kuonesha watu mabilioni hewa, na inaweza Chukua hela ikaweka kwenye account Ya barrick Halafu ikawaambia tuletee mseme kuwa ni gawio tena wanaweza hata wakawapa hela Kama ya kufanya Kama nauli, Mimi siwaaamini hata chembe hiii serikali imejaa usaniii, uongo na ushamba Sana naa Kwa kuwa inajua kuwa Hakuna wa kuikagua lolote laweza fanywa na huyu mtu

Kama Leo ameshangaa Kwa kusema kuwa wanafunzi wanaomaliza vyuo vya Elimu ya Juu hawajaajiriwa wamekosa ajira, huyu utamwamini kweli? Sasa haya lisu Alikuwa anayapigia kelele na ndio sababu Ya lisu kugombea ili awaokoe wanavyuo Leo tena alioko madarakani aliefuta utaratibu wa ajira aliesimamisha ajira eti anashangaa Kuona wanafunzi wengi kukosa ajira anasema kuwa anaomba mmchague ili awatafutie ajira, daaaah huyu mtu kichwani yuko sawa?

Mimi ninahakika neno alilolisema Leo anapaswa kuchunguzwa kichwani
 
Sirro na 'komwe' Mahera jitathimini.

Vyeo hivyo huwa vinavuliwa muda wowote kama unavyovua pants kwenda kukata gogo onhoo!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hatupagiwi tutafuata sheria zetu full stop. Kama wewe unawaogopa sana lala ndani sisi tarehe 28/10/2020 tunaenda kupiga kura kumpigia Rais wetu mpendwa Magufuli sasa wao wampigie Msaliti kibaraka wao Lissu.
Wewe no jambazi kama jiwe tu
 
Wale wanaopenda kusema tuweni Wazalendo kwa Nchi Yetu. Safari hii mtakuwa wenyewe. Kama mnataka tuwe pamoja basi Tendeni Haki. Na Haki hiyo ionekane.

Tuanzeni kuonyesha Uzalendo wetu kwa kumkemea Bw Yule Mbaguzi. Aliyepanda mbegu ya chuki na visasi baina ya Vyama vya Siasa, Chuki kati ya Vyombo vya Dola na Viongozi wa Upinzani. Kati ya Serikali na Wananchi.
 
Wale wanaopenda kusema tuweni Wazalendo kwa Nchi Yetu. Safari hii mtakuwa wenyewe. Kama mnataka tuwe pamoja basi Tendeni Haki. Na Haki hiyo ionekane.

Tuanzeni kuonyesha Uzalendo wetu kwa kumkemea Bw Yule Mbaguzi. Aliyepanda mbegu ya chuki na visasi baina ya Vyama vya Siasa, Chuki kati ya Vyombo vya Dola na Viongozi wa Upinzani. Kati ya Serikali na Wananchi.
Hahahahhahahahha nimecheka Sana
 
Hatupagiwi tutafuata sheria zetu full stop. Kama wewe unawaogopa sana lala ndani sisi tarehe 28/10/2020 tunaenda kupiga kura kumpigia Rais wetu mpendwa Magufuli sasa wao wampigie Msaliti kibaraka wao Lissu.
Punguani kama nyie ndio mnamtia mwenyekiti wenu uwendawazimu
 
Back
Top Bottom