Babuu blessed
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 1,362
- 490
Wewe kama hutaki mtu wako abongeke fanya nae mazoezi, wote kuleni kiafya zaidi. Sio unamlalamikia mwenzako wakati mwenyewe una kitambi cha kubeba na wilbaro.
kitambi hadi kufunga kamba za viatu awezi