Mnanenepa sana wadada

Jamani kila m2 kwa raha zake na starehe zake kama cjalalamika unene wangu unanisumbua wewe tatizo lako ni nn?ila ahsante kwa ushauri,nikizaa pia nibaki vile vile eh?

Kuna mazoezi siku hizi dada yangu unaweza ukaenda gym mara 3 kwa wiki inatosha sana na uki limit chakula unachokula usiku kabla ya kulala na kuweka good timings na vile vile ukapunguza sukari na carbohydrates u will be fine.
 
yaani kwa sasa nipo 72 kg hzi raha mnazotupa tufanyeje sasa

Hawa nao wanatuchanganya sasa, tukikondeana oooooooh mwanamke huna shukurani, ukinenepa pia mashaka. Wengine wanaenda gym kutwa mara tatu lakini bado vipipa kwa kwenda mbele. Hayo ni majaaliwa tu.
 
Mwenye kutaka kukonda atafute janaume ambalo, kila wakati linapapasa chupi yake.
 
Unakutana na binti mzuri cute, perfect figure, tumbo hamna shape saafi makalio si haba na kila kitu kingine anacho.

Unasema ngoja nijikite mazima unatangaza ndoa anakuwa wako.

Bwana wee hata miaka miwili haijapita binti kanenepa ajabu, na kitambi kina mtoka mvuto hamna tena na anaanza kuwa mvivu hata katika mambo yale ya msingi.

Mabinti tunzeni afya zenu, punguzeni ma junk food na mnapopewa offer bar msiagize kuku mzima kama uwezo wako ni kula kipaja kimoja ,ukiwa binti hutakiwi uwe na kitambi, na kuzaa sio kisingizio coz Jlo na Angelina Jolie wana watoto pia :biggrin:

hilo jukumu la kupanga uzazi si mmewakabidhi kina dada, so mkubali na matokeo yanayoambatana na 'miundombinu' ya kupanga uzazi.
 
Ni bora mwanaume awe na kitambi maana kitampendeza, ila sio mwanamke. Kuna wanawake wengine wanafumuka utadhani...

Da yaani ni bora mwanamke sababu ana nenepa mwili mzima booty,nyonyo,mapaja...
mwanamme akiwa na kitambi anakuwa kama mama mjamzito ni kituko.
 
Tatizo hili ni kwa wanaume mpaka wanawake, wazee kwa vijana. Kuna watu wanakula mchana utadhani hana uhakika wa kula baadaye. Kula kula kula ndo mavitambi hayo!

Mazoezi jamani kwa mji wa Dar yataka moyo. Wengi watu wa kawaida hawawezi kuweka mashine za mazoezi nyumbani. Una chumba kimoja nyumba imejaa ndi hata pa kuruka kamba hakuna. Uswazi mashimo barabarani!
Tabu nyingine foleni ukitoka kazini saa 11 unafika nyumbani saa mbili usiku na unalala unaondoka saa 11 asubuhi. Mazoezi tunayoyazungumzia jamani ni yepi? Na msiseme ya kufanyia chumbani.

Uduni na umasikini wa ki TZ na mazoezi wengi hawawezi. Jamaa mmoja aliamua ku jog mtaani kwako. Barabara mashimoooo. Si akaingia kwenye shimo alianguka na kitambi chake pwaaaa. Zaidi ya hayo MOI wakampokea na kumpa POP. Hajarudia!

Cha muhimu-watch your diet!
 
Unakutana na binti mzuri cute, perfect figure, tumbo hamna shape saafi makalio si haba na kila kitu kingine anacho.

Unasema ngoja nijikite mazima unatangaza ndoa anakuwa wako.

Bwana wee hata miaka miwili haijapita binti kanenepa ajabu, na kitambi kina mtoka mvuto hamna tena na anaanza kuwa mvivu hata katika mambo yale ya msingi.

Mabinti tunzeni afya zenu, punguzeni ma junk food na mnapopewa offer bar msiagize kuku mzima kama uwezo wako ni kula kipaja kimoja ,ukiwa binti hutakiwi uwe na kitambi, na kuzaa sio kisingizio coz Jlo na Angelina Jolie wana watoto pia :biggrin:
nani kakudanganya kuwa kuwa wenye vitambi hawana mvuto? Hujajua raha ya kitambi cha binti wewe... Sie wengine ndo ugonjwa wetu huo
 
Mwanamke kunenepa ni wajibu, after pregrancy, coz we have water retention. Its not easy to loose those extra weight with our current lifestyle. Wale ambao wanaremain vimbaumbau, I will say its genetic but in general eventually a women gain weight. Mtake msitake.
 
Wananenepa mpaka staili za mwanzoni hawawezi tena........:A S embarassed::A S embarassed:
 
Khaaa! Smile anza kufanya mazoezi... Hzo kg ni nyingi asee!

Unless una mjua,ila kama humjui inategemea na urefu wake.
Yawezekana saivi ndo yuko normal na alipo kuwa kwenye hizo 65 maybe alikuwa na "malnutrition".

Fanya hivi,chukua uzito wako,..say 72kg,...then chukua urefu wako,...say 170cm,...
convert hizo centimetre kwenda kwenye metre.,....(i.e 1.7m)...

then,...chukua weight yako gawa kwa height squared. (i.e weight/(height x height).
Ukipata jibu x<19,...uko na malnutrition.
ukiwa 19<x<26,...uko normal.
ukiwa kati ya 26 na 28 uko overweight.
ukiwa juu ya 28 uko kwenye obersity.

kwa maelezo zaidi google,..."body mass index" utaelewa vizuri.
Am not a doctor,ila niliwahi fundishwa hivo nikiwa form4,...sikumbuki vyema saaaaaana.
 
Tatizo hili ni kwa wanaume mpaka wanawake, wazee kwa vijana. Kuna watu wanakula mchana utadhani hana uhakika wa kula baadaye. Kula kula kula ndo mavitambi hayo!

Mazoezi jamani kwa mji wa Dar yataka moyo. Wengi watu wa kawaida hawawezi kuweka mashine za mazoezi nyumbani. Una chumba kimoja nyumba imejaa ndi hata pa kuruka kamba hakuna. Uswazi mashimo barabarani!
Tabu nyingine foleni ukitoka kazini saa 11 unafika nyumbani saa mbili usiku na unalala unaondoka saa 11 asubuhi. Mazoezi tunayoyazungumzia jamani ni yepi? Na msiseme ya kufanyia chumbani.

Uduni na umasikini wa ki TZ na mazoezi wengi hawawezi. Jamaa mmoja aliamua ku jog mtaani kwako. Barabara mashimoooo. Si akaingia kwenye shimo alianguka na kitambi chake pwaaaa. Zaidi ya hayo MOI wakampokea na kumpa POP. Hajarudia!

Cha muhimu-watch your diet!

Kila kitu ukiamua inawezekana.Hata uswazi kuna shule za msingi mabazo zina viwanja na vijana wengi huwa wanafanya mazoezi.halafu wengi wa vijana hawa wana moyo wa upendo ,wakiona mdada au mmama ameenda huwa wanamsaidia.Watanzania tuache vijisababu.......tubadili tabia na tufanye mazoezi yanasaidia sana.
 
Back
Top Bottom