Mmu nawatakia ashy wednesday njema

Kiongozi hapa ulikuwa umeanza vizuri, imeendana na siku yenyewe.



Sasa mbona hapa tena umeshasahau, unataka kuanza ukaguzi kwa gia ya maombi!!:lol:
Hahahaha.... Mate umeanza uchokozi. Niko kikazi zaidi hapa.

hakika maneno yako ni sahihi,nakuja unifanyie maombi kabla sijarudia mavumbi
Ewaaa... now you are talking. Usisahau kuja na zaka na sadaka.
 
Hahahaha.... Mate umeanza uchokozi. Niko kikazi zaidi hapa.

Ewaaa... now you are talking. Usisahau kuja na zaka na sadaka.

Kweli kiongozi naona uko kikazi zaidi, Lakini katoliki si bado hamjakubaliana na wanamaombi? sasa wewe huogopi kutengwa?

Bila shaka hawa unaotaka kuwafanyia maombi ni katika kukusanya waumini, si unajua siku hizi makanisa biashara!!
 
ash-wednesday-ritual.jpeg Ni kipindi cha kufanya zaidi toba na kuiamnini injili.
Binadamu u mavumbi na utarudi mavumbini!
 
Kweli kiongozi naona uko kikazi zaidi, Lakini katoliki si bado hamjakubaliana na wanamaombi? sasa wewe huogopi kutengwa?

Bila shaka hawa unaotaka kuwafanyia maombi ni katika kukusanya waumini, si unajua siku hizi makanisa biashara!!
Kufanya maombi na Wanamaombi ni vitu viwili tofauti!
Kila binadamu anahitaji kufanya maombi kwa Mungu wake, na hii si institutional matter (kanisa)!
Maombi ni mawasiliano binafsi kati yA MTU NA MUNGU WAKE.
 
Muwahi jioni, mie nimepaka misa ya asubuhi.
Afadhali Padri kaniambia "tubuni na kuiamini injili"
Hiyo ya mavumbi inatisha zaidi
 
MMU SPECIAL.!! Kwa wale wenzangu wa RC nawatakia Jumatano njema ya majivu. Plz do'nt forget "Funga Jumatano ya majivu" Usile nyama siku ya Ijumaa Kuu. Siku njema
Thanks for reminding...lakini leo ndo siku njaa imeanza saa kumi na moja. Ila will go fasting because that is our pact with GOD.
 
MMU SPECIAL.!! Kwa wale wenzangu wa RC nawatakia Jumatano njema ya majivu. Plz do'nt forget "Funga Jumatano ya majivu" Usile nyama siku ya Ijumaa Kuu. Siku njema

Asante sana DA, Jumatano ya majivu inamaana kubwa sana kwetu sisi wakristo!
 
Muwahi jioni, mie nimepaka misa ya asubuhi.
Afadhali Padri kaniambia "tubuni na kuiamini injili"
Hiyo ya mavumbi inatisha zaidi

Nami naipenda hiyo ya kutubu na kuiamini injili; haujafuta hilo jivu?
 
Niwaulize kwanza...
Hivi pasaka inahesabiwaje maana haina tar maalum mara mwez 3,4...
 
Kufanya maombi na Wanamaombi ni vitu viwili tofauti!
Kila binadamu anahitaji kufanya maombi kwa Mungu wake, na hii si institutional matter (kanisa)!
Maombi ni mawasiliano binafsi kati yA MTU NA MUNGU WAKE.

Mkuu PJ,

Kwani siku hizi waumini wa kawaida wa katoliki nao wanawafanyia wenzao maombi? mi nakumbuka enzi zile nikisali katoliki nilikuwa nakwenda kwa padri ndio ananifanyia maombi!! Just curious.
 
MMU SPECIAL.!! Kwa wale wenzangu wa RC nawatakia Jumatano njema ya majivu. Plz do'nt forget "Funga Jumatano ya majivu" Usile nyama siku ya Ijumaa Kuu. Siku njema

Duhh kumbe hata wewe huwa unasali haki ya nani siamini
 
Niwaulize kwanza...
Hivi pasaka inahesabiwaje maana haina tar maalum mara mwez 3,4...
Alhamisi Kuu itakuwa tarehe 5 mwezi wa 4
Ijumaa Kuu itakuwa tarehe 6 mwezi wa 4
Jumamosi Kuu itakuwa tarehe 7 mwezi wa 4
Pasaka itakuwa tarehe 8 mwezi wa 4 siku ya Jumapili
Jumatatu ya Pasaka itakuwa tarehe 9 mwezi wa 4
 
Back
Top Bottom