Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
he!................... kumbe ni leo??......................
Ohhh sorry, am gona replace it mkuu to reflect this Lent period!Mkeshaji tupo kwenye msafara mmoja?
Naona thread na avatar yako ni perpendicular kabisa.
MMU SPECIAL.!! Kwa wale wenzangu wa RC nawatakia Jumatano njema ya majivu. Plz do'nt forget "Funga Jumatano ya majivu" Usile nyama siku ya Ijumaa Kuu. Siku njema
Mfungo mwema!Hii thred ni nzuri sana, lakini naona tayari imeshaanza kuchakachuliwa. Kuna mpuuzi mmoja anadhani kila kitu ni chit chat. Mara fulani njoo huku, mara sijui nini. Tafadhali jiheshimu na uangalie unaandika nini, wapi na kwa wakati gani...!
Dena ukija na post kama hizi
we love you....
Watu mbona wachokozi hivyo wajameni????
Kwani mie nikoje huwa sisali au??? Mmmhhh ngoja ninyamaze zangu maana nitaambiwa nimekuwa mkali sasa hivi..............Mfungo mwema na msali kwa bidii, kusaidia wasiojiweza, kutembelea wagonjwa na matendo mema yampendezayo Mungu...............Leo ni siku ya pili ya mfungo
Nimependa jibu lako mkuu,Ni enzi hizo Mkuu!
Shetani shindwa katika jina la Yesu mtoke mtu huyu kamwe asijaribiwe tena Amen.....
Ha ha ha endelea hivyo hivyo uncle KEMEA. wakati huu shetani anajitahidi sana kupotosha watu.Shetani shindwa katika jina la Yesu mtoke mtu huyu kamwe asijaribiwe tena Amen.....
Nawakumbusha wakatoliki/wakrito kesho ni Jumatano ya majivu. Asanteni wapendwa katika Yesu