The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Hahaha! Taratibu PA au sijui niyazukie mwenyewe DubaiNimempigia simu.... analeta fasta (unamvisha nani vilee??)
Hahaha! Taratibu PA au sijui niyazukie mwenyewe DubaiNimempigia simu.... analeta fasta (unamvisha nani vilee??)
nawamiss sana Gaga na Maty
Habari ya Ngorongoro Cracteraaiiii na mimi nataka uni miss!
Fire Extinguisher unazifungulia wapi?Aseee! Duh!
Hawa wakuu sijawasikia kitambo na namiss sana michango yao, HashyCool, Kaka Mohamed Shossi, Yeshua Haarmalech, Mkwaruzo, Prodigy Son, Young Corporate na wengineo. Najua maisha yana purukushani zake na challenges zake za kila siku, lakini kama alivyosema AshaDii tunawamiss sana.
May God bless you all
Habari ya Ngorongoro Cracter
Sawa mkuu. Lakini niliipenda ile avatar yako ya umangani, ukiweza tunaomba uirudishe mkuu kwani likuwa poa sana. Ukiwasiliana na Mohammed Shossi mwambie tafadhali arudi jamvinipamoja sana kaka....
first lady hayupo fresh kiafya ila nitamfikishia salamu zenu. hao watu kweli wameadimika.
Aisee huyu mtu hata mimi nimemmiss sana...hatupati mashairi tena...klorokwini sijui tumwingize upande gani, anakuja na kupotea kama mvua...Dena Amsi nae pia siku hizi anachungulia tu kwa mbali...Magulumangu mzee wa mashairi sijui amepotelea wapi
Ni jana tu nilikua nauliza habari yake kwa watu wengine, nikidhani maybe ni sababu mimi sio regular hapa MMU...I miss them tooo..especially Lizzy
Sawa mkuu. Lakini niliipenda ile avatar yako ya umangani, ukiweza tunaomba uirudishe mkuu kwani likuwa poa sana. Ukiwasiliana na Mohammed Shossi mwambie tafadhali arudi jamvini
Hawa wakuu sijawasikia kitambo na namiss sana michango yao, HashyCool, Kaka Mohamed Shossi, Yeshua Haarmalech, Mkwaruzo, Prodigy Son, Young Corporate na wengineo. Najua maisha yana purukushani zake na challenges zake za kila siku, lakini kama alivyosema AshaDii tunawamiss sana.
May God bless you all
Shukran, mkuucopied!...ntairudisha kwa heshima yako.