"MMU Misses you Sooo Much"

nini supu ya ngumi... kuna makange ya mkia pale kwa mbaga (mbezi/kawe) na 8 packs za fire extinguisher

BTW.... andaa caravan kuanzia dec 20 ya nothern zone adventure... kuna haja ya kuanzia tanga, na kumalizia karatu.... SERIOUSLY
Asee....hapo umesema mkuu!!
Wapi tanga.......koogwe halafu haoooo!!
Blaki Wumani atakuwa amemalizia ile guest house yake pale Ngaramtoni walahi!!
 
first lady hayupo fresh kiafya ila nitamfikishia salamu zenu. hao watu kweli wameadimika.
 
Asee....hapo umesema mkuu!!
Wapi tanga.......koogwe halafu haoooo!!
Blaki Wumani atakuwa amemalizia ile guest house yake pale Ngaramtoni walahi!!
Mkuu naona mwaka huu mambo kama vile yatajirudia kama December mwaka jana
 
Biggy kwahiyo kule Ngaramtoni tutaenda kufunga another branch baada ya mwaka jana kufunga moja pale Arusha mjini
 
yeah cousin, thats for men, men and only men!!! Biggy na GY wanajua mziki wake... hiyo huwa inaanzia saa mbili asubuhi..........and it kills the whole day!!! Babu ana inni kama la sungura, extinguishe tatu tu kwisha kazi
Fire extinguisher ni kwa ajili ya wazee..........yule sio mzee, ni babu.......
mkuu, fire extinguisher zinaanza za bardiii halafu baadae unasahau kama kama ulikuwa unakunywa za baridi, unasema fungua tu!!!

Asee, GY anawaka....kiu yake inahitaji kumkatia insurance kabisa............''Thirst insurance''
 
Fire extinguisher ni kwa ajili ya wazee..........yule sio mzee, ni babu.......
mkuu, fire extinguisher zinaanza za bardiii halafu baadae unasahau kama kama ulikuwa unakunywa za baridi, unasema fungua tu!!!

Asee, GY anawaka....kiu yake inahitaji kumkatia insurance kabisa............''Thirst insurance''
Lol!! Insurance ya Kiu
 
Dah wamepotea kweli ila kama wanasikia warudi tu.......ila mi nimemiss Husninyo tu ingawa namwona kila siku....teh teh


Excellent taratibu mlezi wake nipo hapa... Kwanza leo siku yake ya kuzaliwa... Mimi na Sweetie Kaizer tumemuandalia sherehe pale Ukumbi maarufu wa Chit Chat... karibu saana...
 
Habari wana JF...

Ni wazi kua we have got lives beyond hapa JF.... Na ni wazi kua majukumu ni mengi katika jamii ambayo kwa kweli mara nyingi ndio first priorities katika maisha yetu kuliko hata hapa Jamvini... However inapotokea kua Members ambao ni wanafamilia wa hapa MMU wamepotea kitambo... Kuna baadhi ya members hasa sie wanafamilia wa MMU (Mfano mimi) hutokea kwamba Tumewa MISS.... Nyie watu (wanafamilia ya MMU) Popote kule mlipo msitegemee kukaa kwenu kimya basi na rohoni na akilini kwetu hampo!!! ACHENI kutesa mioyo yetu na agalau mtutembelee walau hata post moja tu kwa Week kuhakikisha kua kweli ni wazima wa Afya na kwamba Mwaendelea vizuri... Hivo basi naomba nitaje baadhi ya ambao nimewakumbuka kwa mda huu.... Wale ambao nimesahau kutaja naomba fellow members tukumbushane... Walau waelewe kua We REALLY MISS THEM..... (At lease I do...)

  1. Michelle
  2. Eiyer
  3. Gaga (I kno u ar fine but jamvini sijakuona mda)
  4. Stevie Dii
  5. Mestod
  6. Bacha
  7. CPU
  8. Lizzy
  9. Gagurito
  10. Manumbu
  11. Pearl
  12. Belinda Jacob
  13. Magulumalu
  14. Mentor
  15. First Lady
  16. Zion Daghter
  17. Maty (simuoni kabisa naona tu likes...lol)
  18. Dinnah
  19. Kbd
  20. Rev Masanilo
  21. Cheusi Mangala (thou she is back)
  22. Okada
  23. Elia
  24. Sharohiphop
  25. Aisha Adam
  26. Samora10
  27. Vikwazo
  28. The Dirty Paka
  29. Madabwada
  30. KonaKali
  31. Mayassa
  32. Kaka Mpendwa
  33. Fixed Point (thank God tumemuona)

Naamini ni wengi na wengine nimewasahau... Ama siwafahamu tokana na Ukweli kua MMU haijaanza juzi... I repeat Members wengine tutasaidiana kukumbushana (kwa wataopenda)

(This Post has been written with Lots of Love.....)

Pamoja Saana

AshaDii.
Aisha Adam...........mh! nimemmiss sana.
 
Excellent taratibu mlezi wake nipo hapa... Kwanza leo siku yake ya kuzaliwa... Mimi na Sweetie Kaizer tumemuandalia sherehe pale Ukumbi maarufu wa Chit Chat... karibu saana...
Nimeshafika huko ingawa mtoto mchanga nasikia mkorofi
 

Similar Discussions

19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom