Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,424
Kabisa...muhimu kujua kama una test nzuri!Enhe.,lets hear it!Naweza kusaidia ku-suggest rangi
Kabisa...muhimu kujua kama una test nzuri!Enhe.,lets hear it!Naweza kusaidia ku-suggest rangi
DA umeibiwa password?
Kheeeee Kheeeee usije ukawa kama yule mwingine anayesema mume wake akiongea anasikia kichefuchefu wanawake mna mambo l.o.lHajaiba mtu lakini ndoa inanikera sana sijui kwanini niliolewa NAJUTA SANA................. (Mwanaume ana maudhi kama mkaanga sumu bana)
Nitakutumia sample hapa watu wanaweza kuniibia maana sijafanya hata copyright lolzKabisa...muhimu kujua kama una test nzuri!Enhe.,lets hear it!
Hajaiba mtu lakini ndoa inanikera sana sijui kwanini niliolewa NAJUTA SANA................. (Mwanaume ana maudhi kama mkaanga sumu bana)
Kwani ndoa ndo zinazaa? Wengine tuna watoto bila hizo ndoa!Watu uamua kuoa au kuolewa ili kupata watoto ... hayo mengine ni blah blah's tu!
Upendo wa dhati unapimwa vipi?
Kwani ndoa ndo zinazaa? Wengine tuna watoto bila hizo ndoa!
DaaahhIli ndoa iwe nzuri, yenye amani na upendo inatakiwa ijengwe kwenye misingi ya mambo mengi (inategemeana na ninyi wenyewe) lakini muhimu zaidi ni mapenzi mliyonayo kati yenu ninyi watu wawili na dini .:love:
1-Kutokana na Imani ya Dini tunafunga ndoa kwa vile tumeambiwa kuwa tendo la ndoa kabla ya ndoa ni dhambi, hivyo ni kama vile tunafunga ndoa ili kungonoana kihalali (usininukuu), hapa inawezekana kukawa na mapenzi au matamanio.
2-Kutokana na Imani hizo za Dini pia tunafunga ndoa ili kujenga familia bora inawezekana kusiwe na mapenzi.
3-Tunafunga ndoa ili kuwa na heshima mbele ya jamii (Africa zaidi) au kuondoa mkosi, hapa tutafunga ndoa bila mapenzi.
4-Tunafunga ndoa kwa vile tunalazimika kufanya hivyo kutokana umri, hapa vilevile mapenzi hakuna.
5-Tunafunga ndoa kwa vile tumeelewana kuwa kwenye uhusiano na kugundua tunapendana na kutaka kuishi maisha yetu yote pamoja (Kisasa).
6-Tunafunga ndoa kwa vile wazazi wanataka ufanye hivyo, hapa utafunga ndoa na yeyote atakaejitokeza bila mapenzi, nasikitika kusema tena kuwa hapa mapenzi hayapo.
7-Tunafunga ndoa kwa ajili ya kupata sifa, umeoa/olewa na mtu kutoka kabila/nchi fulani, mtoto wa fulani, mzuri, maarufu n.k. mapenzi hakuna.
8-Tunafunga ndoa kwa vile marafiki zetu wote wamefanya hivyo na wewe unahisi kuwa nio pekee umebaki bila mume/mke, hakuna mapenzi.
9-Tunafunga ndoa ili kupata msaidizi, iwe ni kupikiwa au kujikimu kutokana na ugumu wa maisha,
Lizzy NDOA ni TENDO LA NDOA - Huweza kuzaa bila kuolewa! Labda kwa muujiza wa Mwenyezi Mungu...
Na wanaopata hilo TENDO LA NDOA alafu hawazai wao wanafaidika nini na hizo NDOA!?
BE watoto ni majaliwa unaweza kuingia kwenye ndoa na mshindwe kupata watotoWatu uamua kuoa au kuolewa ili kupata watoto ... hayo mengine ni blah blah's tu!
Upendo wa dhati unapimwa vipi?
Sidhani kama wanafaidika.Na wanaopata hilo TENDO LA NDOA alafu hawazai wao wanafaidika nini na hizo NDOA!?
Pole kwa kukupoteza...angalia hapa ndo tulianziadah Lizzy sijui sijakuelewa au ngoja nikusome tena.
Watu uamua kuoa au kuolewa ili kupata watoto ... hayo mengine ni blah blah's tu!
Upendo wa dhati unapimwa vipi?
Sidhani kama wanafaidika.