The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Sasa si hadi yule dada yako akubali mimi niko tayari namsubiri yeye tu akubali ombi langu:yield::yield:Leo nakuweka kitimoto...enhe na wewe unaoa lini?Nna hamu ya kuitwa wifi sijui rhemeji!
Sasa si hadi yule dada yako akubali mimi niko tayari namsubiri yeye tu akubali ombi langu:yield::yield:Leo nakuweka kitimoto...enhe na wewe unaoa lini?Nna hamu ya kuitwa wifi sijui rhemeji!
Hahahshhah lol
Hizo za kuigwa mbona
mie sizijui mpenzi haha
unavituko wewe..
Sasa si hadi yule dada yako akubali mimi niko tayari namsubiri yeye tu akubali ombi langu:yield::yield:
Mpwa sasa wewe si una uvumilivu wa hali ya juu hata ukipata mwanamke sample kama ya MARTHA KARUA mbona safi tu wale wanaopenda kukwiba waumee za watu sidhani kama watatia maguu hata kwako halafu nafikiri wapwazz tutakuwa tuna advantage kubwaMi naoa uzeeni nikioa tu nimejipiga kitanzi...nitakuwa naonana vp na nyie wapwa
Huku na huku naoa mke kama Lucy Kibaki nyie wapwa sijui kama mtakuwa mnakanyaga home achilia mbali mm manyanyaso nitakayo kuwa nayapata lakini umri ukiwa umekwenda aaah navumilia tu. Kwa sasa damu bado inachemka nahitaji kupata tuzo ya kuwa na watoto wengi.
Mmmhuu!Sasa maombi umeshatuma au nije kukusaidia kuandika barua?Sasa si hadi yule dada yako akubali mimi niko tayari namsubiri yeye tu akubali ombi langu:yield::yield:
Nimechumbia mtoto wa MwanajeshiHome boy kumbe umechumbia sehemu lol
Angalia isije ikawa mnachangia
Taratibu wewe!Home boy kumbe umechumbia sehemu lol
Angalia isije ikawa mnachangia
Mbona kila kitu tayari labda kama unataka kunisaidia tuongeze ng'ombe wengine tena kwenye ile mahari niliyoambiwaMmmhuu!Sasa maombi umeshatuma au nije kukusaidia kuandika barua?
Daaahh kwa hiyoJibu la hilo swali ni NDIO halafu vile vile ni HAPANA kuna watu wengine wanaingia kwenye ndoa kwasababu ya upendo na utayari walionao hao wahusika wawili kuna wengine wanaingia kwenye ndoa kwasababu anakuwa ana malengo fulani mfano mdogo kuna msichana ambaye namjua yeye alisema wazi kabisa na alikuwa akiwaambia na marafiki zake kwamba "I'm getting married to this guy simply because of his wealth i don't love him that much i only want his money" sasa huu ni mfano mdogo katika ya mifano mingine mingi tu tumekuwa tukiona same trend kwa wanaume siku hizi pia.
Wapo wachache ambao wanaingia ndani ya ndoa baada ya kuona kuwa wako tayari kuanzisha familia lakini binadamu tunageuka leo hii unaweza kuona mtu huyu anakufaa sana na kabla ya ndoa akakuonyesha upendo wa ajabu ambao hakuna mtu aliyewahi kukuonyesha lakini mkiingia kwenye ndoa inakuwa tofauti kutokana na kwamba lengo lake hasa lilikuwa ni mali na fedha ulizonazo ndicho hasa alikuwa anakitaka na sio wewe.
Nimechumbia mtoto wa Mwanajeshi
Hapana ndoa sio upofu ni baraka kutoka kwa Mungu ila kutokana na mambo yanayotendwa na baadhi ya wanandoa basi kila mtu akifikiria anaona NDOA NI TANURU LA MOTO lakini kama wewe na mwenza wako mnaelewa na kuheshimiana na katika kila jambo mnamtanguliza Mungu basi hiyo NDOA itakuwa na baraka zake takatifu kikubwa ni kwamba wengi wakiingia kwenye NDOA wanajisahau na wengine wanaota mapembe na kujiona ni bora kuliko mwenzake na kuanza kudharaulianaDaaahh kwa hiyo
unachotaka kusema
hapa ndoa ni upofu
hujui unajiingiza kwenye nini
Mpaka uingie ndo utaona..
Mmmmhhhh
Hehehe mgambo hana tofauti na SungusunguHivi mgambo nae ni mwanajeshi?
Hehehe mgambo hana tofauti na Sungusungu
Amepandishwa cheo kutoka MGAMBO sasa hivi amekuwa KOPLO halafu si unajua KOPLO wasivyochezewa na mtuSasa huyo baba mkwe wako ni mgambo ndo maana nilitaka kujua kama mgambo nae ni mwanajeshi.
hiyo ya upendo ni mojawapo
Wengine hupenda kuoa/kuolewa kwa kufwata maagizo ya vitabu vitakatifu vya Mungu
wengine hupenda kuoa/kuolewa kwa sifa hata kama hakuna mapenzi watu waone
waheshimiwa
na wataalum wote
wa mambo ya mahusiano,mapenzi na urafiki
naombakuuliza ni nini au ni kitu gani
kinacho mfanya mtu kuoa au kuolewe?
Je ndoa zote ni matokeo ya upendo wa hali ya juu??
Ni hayoo tu
ps. ..maoni yote yana karibishwa
asanteni
ad