mmmhhh NDOA???

Daahh
sante sana my dear
daahh umenichekesha eti
nataka kuolewa mmmhhh
mmhh mwenzangu mie kuolewa
Daahhh hiyo kitu naogopa
mie mwanaume aki propose na mwacha
tayari wawili mmhhh

Usiogope kuolewa. Pitia hicho kikombe ukiwa na imani utafanikiwa.
Kama kuna aliyekukwaza basi hesabu kama ni tukio peke na siyo tukio kawaida.
Mimi nilichoona hadi sasa ni kujitayarisha kwa lolote lakini nikiweka milango wazi
na kuombea mema.
Ndoa ni kitu kizuri. Wanaoingia wakitegemea raha tu bila karaha huishia kutaabika maana karaha inapowagusa
hawachelewi kuruka nje.
 
Watu wanafuata mkumbo kila siku mpnz!Alafu sina furaha na wewe kwahiyo naomba nisicheke kabisa kwenye hii thread!

Daahhh
Nini tena kulikoni mpenzi
Embu nitumie ka PM
Unidokezee
Kidocho..
 
Hahahaha angalia mpwa usije chezea kipigo cha mbwa mwizi Teamo aliwahi rukishwa kichura pale Changarawe.
Lol! Halafu cha kushangaza huyu Koplo ni mshikaji kweli naomba siku tu asije akanigeuka itabidi nirudi tena JKT kwa ajili ya mafunzo ya ukakamavu
 
Usiogope kuolewa. Pitia hicho kikombe ukiwa na imani utafanikiwa.
Kama kuna aliyekukwaza basi hesabu kama ni tukio peke na siyo tukio kawaida.
Mimi nilichoona hadi sasa ni kujitayarisha kwa lolote lakini nikiweka milango wazi
na kuombea mema.
Ndoa ni kitu kizuri. Wanaoingia wakitegemea raha tu bila karaha huishia kutaabika maana karaha inapowagusa
hawachelewi kuruka nje.

I like it. Nilikuwa natafuta kibutton cha Thanx sijui kimekimbilia wapi...lol
 
Mi naoa uzeeni nikioa tu nimejipiga kitanzi...nitakuwa naonana vp na nyie wapwa
Huku na huku naoa mke kama Lucy Kibaki nyie wapwa sijui kama mtakuwa mnakanyaga home achilia mbali mm manyanyaso nitakayo kuwa nayapata lakini umri ukiwa umekwenda aaah navumilia tu. Kwa sasa damu bado inachemka nahitaji kupata tuzo ya kuwa na watoto wengi.

Hahahahah lol
nimekosa la kujibu
imenibidi nicheke..
 
Ili ndoa iwe nzuri, yenye amani na upendo inatakiwa ijengwe kwenye misingi ya mambo mengi (inategemeana na ninyi wenyewe) lakini muhimu zaidi ni mapenzi mliyonayo kati yenu ninyi watu wawili na dini .:love:

1-Kutokana na Imani ya Dini tunafunga ndoa kwa vile tumeambiwa kuwa tendo la ndoa kabla ya ndoa ni dhambi, hivyo ni kama vile tunafunga ndoa ili kungonoana kihalali (usininukuu), hapa inawezekana kukawa na mapenzi au matamanio.

2-Kutokana na Imani hizo za Dini pia tunafunga ndoa ili kujenga familia bora inawezekana kusiwe na mapenzi.

3-Tunafunga ndoa ili kuwa na heshima mbele ya jamii (Africa zaidi) au kuondoa mkosi, hapa tutafunga ndoa bila mapenzi.

4-Tunafunga ndoa kwa vile tunalazimika kufanya hivyo kutokana umri, hapa vilevile mapenzi hakuna.

5-Tunafunga ndoa kwa vile tumeelewana kuwa kwenye uhusiano na kugundua tunapendana na kutaka kuishi maisha yetu yote pamoja (Kisasa).

6-Tunafunga ndoa kwa vile wazazi wanataka ufanye hivyo, hapa utafunga ndoa na yeyote atakaejitokeza bila mapenzi, nasikitika kusema tena kuwa hapa mapenzi hayapo.

7-Tunafunga ndoa kwa ajili ya kupata sifa, umeoa/olewa na mtu kutoka kabila/nchi fulani, mtoto wa fulani, mzuri, maarufu n.k. mapenzi hakuna.

8-Tunafunga ndoa kwa vile marafiki zetu wote wamefanya hivyo na wewe unahisi kuwa nio pekee umebaki bila mume/mke, hakuna mapenzi.

9-Tunafunga ndoa ili kupata msaidizi, iwe ni kupikiwa au kujikimu kutokana na ugumu wa maisha,
 
Ili ndoa iwe nzuri, yenye amani na upendo inatakiwa ijengwe kwenye misingi ya mambo mengi (inategemeana na ninyi wenyewe) lakini muhimu zaidi ni mapenzi mliyonayo kati yenu ninyi watu wawili na dini .:love:

1-Kutokana na Imani ya Dini tunafunga ndoa kwa vile tumeambiwa kuwa tendo la ndoa kabla ya ndoa ni dhambi, hivyo ni kama vile tunafunga ndoa ili kungonoana kihalali (usininukuu), hapa inawezekana kukawa na mapenzi au matamanio.

2-Kutokana na Imani hizo za Dini pia tunafunga ndoa ili kujenga familia bora inawezekana kusiwe na mapenzi.

3-Tunafunga ndoa ili kuwa na heshima mbele ya jamii (Africa zaidi) au kuondoa mkosi, hapa tutafunga ndoa bila mapenzi.

4-Tunafunga ndoa kwa vile tunalazimika kufanya hivyo kutokana umri, hapa vilevile mapenzi hakuna.

5-Tunafunga ndoa kwa vile tumeelewana kuwa kwenye uhusiano na kugundua tunapendana na kutaka kuishi maisha yetu yote pamoja (Kisasa).

6-Tunafunga ndoa kwa vile wazazi wanataka ufanye hivyo, hapa utafunga ndoa na yeyote atakaejitokeza bila mapenzi, nasikitika kusema tena kuwa hapa mapenzi hayapo.

7-Tunafunga ndoa kwa ajili ya kupata sifa, umeoa/olewa na mtu kutoka kabila/nchi fulani, mtoto wa fulani, mzuri, maarufu n.k. mapenzi hakuna.

8-Tunafunga ndoa kwa vile marafiki zetu wote wamefanya hivyo na wewe unahisi kuwa nio pekee umebaki bila mume/mke, hakuna mapenzi.

9-Tunafunga ndoa ili kupata msaidizi, iwe ni kupikiwa au kujikimu kutokana na ugumu wa maisha,
Amen Amen Amen Amen
 
Usiogope kuolewa. Pitia hicho kikombe ukiwa na imani utafanikiwa.
Kama kuna aliyekukwaza basi hesabu kama ni tukio peke na siyo tukio kawaida.
Mimi nilichoona hadi sasa ni kujitayarisha kwa lolote lakini nikiweka milango wazi
na kuombea mema.
Ndoa ni kitu kizuri. Wanaoingia wakitegemea raha tu bila karaha huishia kutaabika maana karaha inapowagusa
hawachelewi kuruka nje.

Dahhh sante sana dada Tausi
ila saa nyingine hizo past experience
zina play big part in the future
saa nyingine mie naona ni bora mtu
ukae mwenyewe mpaka u build confidence kidogo..
maana naelewa ndoa is all about compromise
uta compromise nini kama huna confidence yeyote....

Daahh lakini
asante sana kwa point zako mpendwa..
 
Usiogope kuolewa. Pitia hicho kikombe ukiwa na imani utafanikiwa.
Kama kuna aliyekukwaza basi hesabu kama ni tukio peke na siyo tukio kawaida.
Mimi nilichoona hadi sasa ni kujitayarisha kwa lolote lakini nikiweka milango wazi
na kuombea mema.
Ndoa ni kitu kizuri. Wanaoingia wakitegemea raha tu bila karaha huishia kutaabika maana karaha inapowagusa
hawachelewi kuruka nje.
Tausi unaolewa lini??? Lol!!
 
Back
Top Bottom