Mmeona angan dar muda huu ndege nne za kijeshi zinapita kwa kasi

ni kikosi kazi 2878. wanafanya mazoezi. wamenipita hapa kwa juu speed maya.wameenda kukata kona zanzibar. watarudi sasa hivi. over
 
Jamani wadau hili ni zoezi linaloendele la Maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru, kwahiyo msishtuke wanaJF
 
ni mazoezi ya maadhimisho ya jubilei ya upumbavu wa watanzania na kuwachapa ally shabibu.
 
Dodoma makundi hasama yamekubali kugawana walichoiba na kukaza uzi. hivyo huko hakuna kazi.
 
Wote kumbe mko nyuma ya wkt ktk ma'B/news! Hizo ndy ndege mpya za ATCL ilikua zifike jana lkn kw 7bu za kiitelejensia tukazichelewesha Source : David's Mattaka wife

Teh teh teh:) Hii source yako CHIBOKO!!!!!!! Kumbe wife ndiye alikuwa MENEJA MIPANGO NA MAENDELEO ya shirika nini???
 
Maandalizi ya sherehe za miaka 50 ya uhuru. Haya matumizi ya ndege katika kutoa salaam wakati wa shererhe kama hayakuwepo katika awamu zilizotangulia, nimenza kuyaona miaka ya hivi karibuni au mimi ndiye mtoto wa juzi juzi?
 
Back
Top Bottom