Mlipuko ulisababishwa na kombora kutoka nje?

Mara baada ya tukio la Gongo la Mboto kutokea maelezo ya kwanza (kina Kova na wenzake) walianza kutuambia ni "ajali". Baadaye taarifa zilitoka kwamba siku tatu kabla yake ulifanyika ukaguzi na kuhakikisha maghala yale yako salama na hakukuwa na dalili lolote la tatizo. Hivyo, tunakabiliwa na maelezo yafuatayo:

a. Ukaguzi haukuwa makini ilivyotakiwa (yaani wa kubabaisha) - uzembe!
b. Ukaguzi haukufanyika kama ilivyotakiwa (wa kuharakisha) - uzembe
c. Ukaguzi ulifanyika kwa kiwango kinachotakiwa na hakukuwa na tatizo lolote - JWTZ linasafishwa
d. Mtu/Watu wa ndani ambao walikuwa wanajua hali ilivyo waliamua kusabotage maghala kwa sababu zao - ughaidi
e. Mtu/watu wa nje ambao wanajua uwepo wa hiyo ghala na waliamua kusabotage kwa kutumia silaha - ughaidi.

Ninajiuliza maswali hayo kwanza kutokana na upekee wa tukio lenyewe lakini vile vile tukiangalia hali ya kisaikolojia miaka hii michache ambapo tumeona wanajeshi wetu (Polisi na Jeshi, na hata magereza) wakipatwa na msongo wa mawazo kiasi cha kutumia silaha kujidhuru wao wenyewe. Pendekezo kuwa hili laweza kufanywa na mwanajeshi linakuwa ngumu hasa baada ya taarifa kuwa hakuna mwanajeshi aliyekufa (japo hawasemi hakuna aliyedhurika).

Hivyo, njia pekee ya kuwaaminisha wananchi kuwa tukio hili halikuwa ughaidi ni muhimu (kama ilivyoamuriwa) kuleta chombo cha nje na huru kuchunguza na kutoa taarifa. Haiwezekani na taarifa ya Gongo la Mboto kuwa kificho tena. Tunahitaji kujua kiilichotokea, tunastahili kujua kilichotokea.

Lakini katika upande wa kusababisha madhara makubwa kwa wananchi hili halina mjadala - ni uzembe uliokubuhu wa viongozi walioko madarakani. Naungana na wale wanaotaka Dr. Mwinyi ajiuzulu na pamoja naye Katibu Mkuu MoDNS Bw. Andrew Nyamuso???
 
Kuna nyingine zimevuja leo zinasema...

'section of intelligence suggests the incident was planned to divert public attention from that of discussing Dowans payment and power blues'

Courtesy: annonymous high intelligency personnel.
 
Kama ni attack inatakiwa iwe long range missile hapa labda medium range missile ambayo yaweza kuwa na range ya km hadi 500.hakuna nchi kusini ya sahara ukiachia sozfrika yenye capacity hiyo.

Wanabaki america wana Intercontinental ballistic missile(ICBM)ambayo yaweza fyatuliwa toka mrekani hadi hapa but for what reason?
Hii ni hujuma ya ndani kuna watu wanalipwa pesa kuweka time bomb kwenye maghala yetu ya silaha.

PERIOD
 
Kumbuka, linaanguka na acceleration ya 10g. risasi yenyewe ikiangua na hii acceleration ina uwezo wa kuua mtu.
mkuu kitu kinapoanguka bado tunasema kina accelerate?kama nilimuelewa vizuri mwalimu wangu wa physics form 2 B, basi hapo juu itakua deceleration(-ve acceleration) na sio acceleration.kama principles zimebadilika sio mbaya ukanikumbusha kwani nimesoma zamani kidogo.
 
Kwa maoni yangu sio ugaidi. Kwa tafsiri yangu, ughaidi ni kitendo cha mtu au kundi la watu, kushambulia, kuharibu, au kudhuru kwa hila, katika tukio lisilokuwa la vita, watu au vitu au mfumo wa huduma fulani, kwa malengo binafsi. Kwa hali ya nchi yetu, na kwa uhalisia wa tukio, sioni uwezekano wa ghaidi au maghaidi kufanya kitendo kama kile. Binafsi naona tukio lile ama ni uzembe au hujuma.
 
Sina tabia ya kudharau au kupuuza taarifa hususani zinazohusu usalama wa nchi yetu...taarifa kama hizi huwaga zinaonekana si za maana lakini zaweza kuwa na umuhimu mkubwa sana kwa taifa....je ikitokea mlipuko mwingine kwenye ghala la silaha za moja wapo za kambi za Dar es salaam tutasemaje? au ikitokea kweli pana maadui wana-attack maghala ya silaha zetu ili waweze kutuvamia kiurahisi zaidi tutasemaje? na je kama ni ugaidi wa nje au wandani ya nchi tutasemaje?

Na je ni kwa nini milipuko hii inatokea kwenye maghala ya silaha ya Dar ea salaamu tu na sio za Mikoani?....nachoomba JWTZ na Usalama wa Taifa wazifanyie kazi taarifa kama hizi na sio kuzipuuza kama wana JF wengine...huwezi kujihakikishia kwamba Tanzania hatuna maadui, kwani sisi ni Malaika???????...

NOTE...sijapenda baadhi ya wana JF wanavyompuuza na kumzarau mtoa habari.....naomba tuifanyie kazi hii taarifa pamoja na zingine zote zinazopatika kwa kipindi hiki....
 
Mwanakijiji, siamini mchambuzi mahiri kama wewe you are actually calling for another TUME / uchunguzi. Hata kama ni uchunguzi wa kutoka nje, mwisho wa siku ripoti itapewa serikali na ndiyo itakayoamua nini cha kufanya na ripoti hiyo.Ripoti ya Uchunguzi wa Alex Stewart na associates ipo wapi? Na huu ulifanywa na wataalamu kutoka nje.
Toka JK aingie madarakani ni tume juu ya tume. na hamna hata moja iliyowekwa hadharani, wameshindwa hata kutoa majibu ya tume iliyoundwa kuchunguza stendi ya Ubungo,wataweza kutoa ripoti inayohusu jeshi !!!?
 
Ughaidi ?.... Inawezekana.. LAKINI

Uzembe defenetly... yaani hapa hata kama kuna ughaidi upo lakini Uzembe pia nao Upo

Uzembe, Uzembe, Uzembe... hawawezi wakakimbia hili neno... Uzembe.
 
Wana JF

I truly believe the kimondo thing is a mere coincidence, I and my other 9 friends were sitting outside a club in Mbezi Beach, maeneo ya Africana, mara tunakona mwanga mkali wenye cheche zilizokuwa zikipukutika kutoka angani, initially tulidhani ni waya wa umeme umepata short, lakini ilikuwa ni juu sana tuka conclude kuwa sio umeme. I was the first to sight it. Then we joked kuwa huenda ni wanasayansi wa kijadi wanatua na ndege zao kwenda kuwanga, but we wondered it was so early, just around 20hrs.
As to the cause of bomb explotions, mengi yameanza kuongelewa, wengi wanasema huenda ni hujuma ilishafanyika ndani ya kikosi so watu wamelipua ili kupoteza ushahidi. KWamba huenda contents za mabomu zilishakutolewa na kuuzwa ( ndio maana mengine yako mitaani hayajalipuka lakini yako empty), wengine wanasema physical bombs yenyewe huenda mengi yalishatembea. Juu ya hili TPDF weneywe hawawezi kuji audit na kutoa maelezo ya uwazi, we need external investigators watusaidie, maana hata Mbagala hizi fununu zilizagaa.

We need more information ili zisaidie kupata clue ya nini kinaendelea. Na tusiwabeze watu hata kama wakitoa utumbo, lets read between the lines. Tutawakwaza hata waliokuwa na fununu za ukweli wakaogopa kushambuliwa na wan JF, wakamezea, after all hawana cha kupoteza, kwa kuwith hold such information.

Nakubaliana na wewe mkuu, ni vema tukaheshimu maoni ya mtu as long as amesee yeye mwenyewe kama ingekuwa ni la kuambiwa hapo sawa tungengeweza tukambeza,

Watu hawana expirience na milipuko tofauti nchi nyingine zenye vita so tusitegemee kuwa wanaweza kutoa maelezo yalio sawa .

Maoni yangu serikali ingekuwa inatoa elimu kila wakati ya milipuko na jinsi ya kujihami yanapotokea kwa wale wanao kaa karibu ma makambi ya jeshi hii ingesaidia madhara yasiwe makubwa.
 
Naambo wajuzi wa mambo mnisaidie ni ughaidi au ugaidi? Hawa watakuwa wametoka mkoa mmoja au mtuma post ni mmoja?
 
Wana JF

I truly believe the kimondo thing is a mere coincidence, I and my other 9 friends were sitting outside a club in Mbezi Beach, maeneo ya Africana, mara tunakona mwanga mkali wenye cheche zilizokuwa zikipukutika kutoka angani, initially tulidhani ni waya wa umeme umepata short, lakini ilikuwa ni juu sana tuka conclude kuwa sio umeme. I was the first to sight it. Then we joked kuwa huenda ni wanasayansi wa kijadi wanatua na ndege zao kwenda kuwanga, but we wondered it was so early, just around 20hrs.
As to the cause of bomb explotions, mengi yameanza kuongelewa, wengi wanasema huenda ni hujuma ilishafanyika ndani ya kikosi so watu wamelipua ili kupoteza ushahidi. KWamba huenda contents za mabomu zilishakutolewa na kuuzwa ( ndio maana mengine yako mitaani hayajalipuka lakini yako empty), wengine wanasema physical bombs yenyewe huenda mengi yalishatembea. Juu ya hili TPDF weneywe hawawezi kuji audit na kutoa maelezo ya uwazi, we need external investigators watusaidie, maana hata Mbagala hizi fununu zilizagaa.

We need more information ili zisaidie kupata clue ya nini kinaendelea. Na tusiwabeze watu hata kama wakitoa utumbo, lets read between the lines. Tutawakwaza hata waliokuwa na fununu za ukweli wakaogopa kushambuliwa na wan JF, wakamezea, after all hawana cha kupoteza, kwa kuwith hold such information.

Nakubaliana na wewe mkuu, ni vema tukaheshimu maoni ya mtu as long as amesee yeye mwenyewe kama ingekuwa ni la kuambiwa hapo sawa tungengeweza tukambeza,

Watu hawana expirience na milipuko tofauti nchi nyingine zenye vita so tusitegemee kuwa wanaweza kutoa maelezo yalio sawa .

Maoni yangu serikali ingekuwa inatoa elimu kila wakati ya milipuko na jinsi ya kujihami yanapotokea kwa wale wanao kaa karibu ma makambi ya jeshi hii ingesaidia madhara yasiwe makubwa.
 
mkuu kitu kinapoanguka bado tunasema kina accelerate?kama nilimuelewa vizuri mwalimu wangu wa physics form 2 B, basi hapo juu itakua deceleration(-ve acceleration) na sio acceleration.kama principles zimebadilika sio mbaya ukanikumbusha kwani nimesoma zamani kidogo.

Itakuwa hukumwelewa vizuri mwalimu wako. Deceleration ikitokea, speed inapungua, mfano dereva wa gari anapokanyaga brake. Sasa jiulize kitu kikianguka kutoka angani speed yake itakuwa inapungua?
 
nimesikia tetesi kwamba kuna wizi mkubwa wa silaha kutoka kwenye ma ghala ya jeshi. Silaha hizi zilikua zina UZWA na watu wachache nchi za jirani zenye vita. Kwa hofu ya KUFANYIKA AUDIT wa kaamua kufuta ushahidi wa wizi (upungufu ) wa silaha kwa kulipu yalio baki ili idadi ya yalio ibiwa hisijulikane.
 
the whole core ya issue itatokana na kujua ni maafisa wangapi wa jeshi walikufa siku ile........... kama hakuna hata mmoja basi jibu mnalijua
 
mie jamani naona ni uzembe bcs hivi kuna hatua gani zilichukuliwa after mbagala? sababu kama kulikuwa na hatua za kuprevent hii isitokee tena "ajali". nafikiri maafa yangekuwa madogo ' then kama sio uzembe ni kwa makusudiii? au ni kutokuwa na utaalamu, fedha za kugharamia kuhifadhi hizo missle?
 
nimesikia tetesi kwamba kuna wizi mkubwa wa silaha kutoka kwenye ma ghala ya jeshi. Silaha hizi zilikua zina UZWA na watu wachache nchi za jirani zenye vita. Kwa hofu ya KUFANYIKA AUDIT wa kaamua kufuta ushahidi wa wizi (upungufu ) wa silaha kwa kulipu yalio baki ili idadi ya yalio ibiwa hisijulikane.

Dar es salaam - full of majungu na uzushi!
 
bongo kweli, wizi umezidi jamanai sasa hamna mwenye ukweli na hili kila lisemwalo wadanganyika tutakubali tu, mie nasimamia ya kuwa mwinyi aachie tu ngazi alituambia hakuna tena jambo kama la mbagala je anakula matapishi yake huyu jamani?
 
...duh kweli wehu ni wengi..yaani ukaona kitu kama kimondo halafu kikalipua mabomu mengine???

Pengine siyo wehu Kwa sababu nilsikia mama mmoja mtu mzima akiwa nyumbani kwake makongo aliona kitu Kama kimondo kikipita juu kuelekea upande Wa airport na baadaye kidogo wakasikia Kama radi kumbe ni mabomu . Mi nilidhani nasikia upuuzi fulani kumbe ni kitu kilichoonwa na wengi!. Kumbe isipuuzwe hii taarifa inaweza kutoa clue ya chanzo cha mlipuko au mipango mibaya dhidi ya taifa letu
 
Back
Top Bottom