Mlipuko ulisababishwa na kombora kutoka nje?

Sasa mkuu nikuulize...

Ni ipi kazi ya Waziri wa Ulinzi? Ni ipi kazi ya CDF? Ni ipi kazi ya TISS?

Ikiwa ni "act of God" hata mimi na wewe hatuwezi kuwalaumu, lakini endapo ikagundulika tumeanza kushambuliwa basi serikali nzima haina budi kuliachia taifa, JK mwenyewe kwa kinywa chake alidai "hakuna tishio la amani toka nje wala ndani ya nchi.

I have to a agree with you kuwa kama ni adui, kuna maswali mengi ya kujibu. Kuanzia hao wa usalama wa taifa, ambao wanachunga mipaka yetu.
Lakini sidhani kama Rais anaweza kuachia ngazi wakati wa vita. Maana hiyo itakuwa an act of cowardness. Kumbuka yeye ni amiri mkuu wa majeshi na ndo anaamuru nchi kuingia vitani.
Kwa maoni yangu, tukio lolote shtukizi, linaangukia mkononi mwa TISS. Maana wao ndo wanatakiwa ku-gather intelligence na ku-inform the right bodies!
 
kimondo huwa siyo fragile. tena huwa ni jiwe lisilobondeka na kitu chochote cha dunia hii. kwa hiyo turuhusu 'tume huru' ifanye utafiti wake pengine tutaoneshwa hicho kimondo kilichopiga ghala ya jeshi letu.

Mh, mimi sijasema kimondo ni fragile. Ukisoma ripoti, vingi vinaungulia angani bila kufika ardhini. Vile vinavyofika ardhini huwa ni iron. Sidhani kama kuna element yeyote iliyo nje ya dunia isiyopatikana hapa duniani. wakiangalia kwenye hilo ghala numba tano, waangalia kwenye ardhi. Mara nyingi huzama ndani kabisa ya ardhi na kuacha shimo. Kumbuka, linaanguka na acceleration ya 10g. risasi yenyewe ikiangua na hii acceleration ina uwezo wa kuua mtu.
 
Kazi kweli kweli. Kama ni kweli kuna mtu alipigiwa simu na ndugu yake mjeshi ahamishe familia yake kwa kuwa kuna tukio litatokea usiku basi inabidi uchunguzi uanzie hapa. Peleka taarifa kwa vyombo husika mapema.
 
apeleke taaarifa kwa vyombo husika wapi wakati wanajua kila kitu kinachoendela?
kwani hawajui nini?
baada ya mabomu JK si alianza kuwasifia hao akina Mwamnyange na Mwinyi? je unajua ni kwa nini?
hilo lilijulikana, watawazuga tu na uchunguzi wa kizushi tu.
Kazi kweli kweli. Kama ni kweli kuna mtu alipigiwa simu na ndugu yake mjeshi ahamishe familia yake kwa kuwa kuna tukio litatokea usiku basi inabidi uchunguzi uanzie hapa. Peleka taarifa kwa vyombo husika mapema.
 
nani wa resign wewe?
hukuwasikia jana wakisema hawana mda wa kuwajibika?
Na Mwinyi akasema kabisa kuwa hawezi kujihudhuru? so who will resign?
eheee kuresign lazima maana inaonekana kuwa hatuna ulinzi na ilihali wanalipwa salaries na accom.za bure.
 
Hamnwa cha kombora wala kimondo, uzembe tu kama kawaida yao.
 
Mkuu,

Dhamira yangu ni kuwafanya watu wafikirie kwa mapana, well, twaweza dhania 'hatuwezi shambuliwa' lakini nalo baadae likaja jirudia kwa Lugalo kupigwa na the same 'kimondo style' na tukapuuza kuwa tunaendelea kuunda tume etc...

Kuna hilo la 'meteorite fall' nakubaliana nawe mkuu, JWTZ hawatakiwi kupuuza maoni ya wananchi walioona vitu vyenye mwelekeo huu, badala ya kuandikwa habari za kupikwa vikipatikana vifaa vya ku-detect incidence ilitokeaje basi wakijua kuwa wananchi waliona na hili linaweza kutupa conclusion moja nzuri sana, aidha ni pigo la kulengwa, manake tunawalipizia maadui ama ni pigo toka kwa Mungu ili tubadilishe silaha zetu za 1975!

Ni hayo tu mkuu

Mkuu,

Kuna vitu vya kujiuliza katika hizi tetesi kwanza Je tanzania haina military radar? What happen to ile tuliyouziwa na BAE ? Vile vile kama waliona kimondo au sijui missile ni vp jeshi halikuweza kuliona hilo?

Kuna mwengine anasema mwanajeshi alimstua kaka yake aondoe familia yake kule gongo la mboto, swali laja je kuna wahaini ndani ya jeshi? Je jeshi limechukua hatua gani? Dah kweli magenerali walikuwapo zamani kama kuna watu wanamkumbuka Brigedia General Sarakikya, Lt Generali Abdallah Twalipo na Lt Generali Sayore pangeliwaka moto saa hizi huko Gongo la Mboto.
 
Mkuu mbona unaweza kuisadia sana nchi yako kufikia ukweli mkubwa. Unaweza kuzipeleka taarifa hizi sehemu husika. Huu ni ushahidi tosha ona nyekundu.

1. Huyo aliyekuambia yuko na unamjua! Na wewe upo na umesoma ninachoaandiaka hapa.
2. Kaka wa huyo jamaa yupo na aliwasiliana naye... anaweza kufikiwa na kusaidia uchunguzi..
3. Ni kweli familia ya huyo jamaa ipo na ilikwenda kinondoni, na muda ilipofika kinondoni unafamika ..na walioipokea ...nk

MKUU FANYA HIMA.... !!!


Mkuu AJ,

Hiyo sehemu husika ni wapi? UWT, Polisi, JWTZ, au Ikulu?

Kama wahusika wa Makampuni ya KAGODA, MEREMETA, DEEP GREEN FINANCE wanafahamika na hao sehemu husika. Je, itakuwa hii ya kuanza na upelelezi? Hiyo ilikuwa enzi ile ya Mwl JKNyerere na siyo sasa!

Inawezekana kweli ni mambo ya Kiroho au pengine ni Mapepo ambayo sasa yameamua kumrudi JK, kwa kutotimiza Mikataba ya Kuzimu. Na, kama ni mambo ya Kiroho pasi huenda ni dalili ya laana toka Mahali fulani.

Tusimpinge mtoa hoja, aliyeona ni yeye na kama ni mambo ya rohoni wanao-yaona ni wachache. Asikiaye na Afahamu!
 
Mkuu,

Kuna vitu vya kujiuliza katika hizi tetesi kwanza Je tanzania haina military radar? What happen to ile tuliyouziwa na BAE ? Vile vile kama waliona kimondo au sijui missile ni vp jeshi halikuweza kuliona hilo?

Kuna mwengine anasema mwanajeshi alimstua kaka yake aondoe familia yake kule gongo la mboto, swali laja je kuna wahaini ndani ya jeshi? Je jeshi limechukua hatua gani? Dah kweli magenerali walikuwapo zamani kama kuna watu wanamkumbuka Brigedia General Sarakikya, Lt Generali Abdallah Twalipo na Lt Generali Sayore pangeliwaka moto saa hizi huko Gongo la Mboto.

Pambo tu,halifanyi kazi
 
hivi hata kama ni kimondo kilianguka bahati mbaya....je vimondo huwa vinashabihiana na silaha mpaka kikaangukie ghala namba 5?......na kwa nini kichague kambi ya jeshi?
 
Yawezekana isiwe magaidi wa nje ikawa magaidi wa ndani tu wanaotaka mambo yao yatimizwe,tatizo ni nani wa kuwa chunguza huyo?
nani amfunge paka kengele?
 
Hicho kimondo gani kilenge ghala la makombora?kwanini kisianguke magu?aafu makombora ya tz tu ndo yanaexpire mbona warusi na wamarekani bado wana makombora ya 1945 wala hayalipuki?hii ni HUJUMA.mabomu gani ya kuexpire kipindi cha jk tu LIPO ZENGWE LINAPIKWA,mabomu hayaekeisipayi bana likifikia hali hiyo haliwezi kulipuka si limeexpire so detonation mechanism itafanya vipi adi lilipuke
 
wakuu...msisahau kama ni a military attack, lazima itakuwa a long-range missle. Nchi ngapi zina uwezo wa kupiga hiyo long range missle? na kati ya hizo, ni zipi zenye nia mbaya na sisi? Au unataka kuniambia kuna meli ya kijeshi iko hapo bandarini bila sisi kujua. The evidence seems to suggest kimondo.
 
hivi hata kama ni kimondo kilianguka bahati mbaya....je vimondo huwa vinashabihiana na silaha mpaka kikaangukie ghala namba 5?......na kwa nini kichague kambi ya jeshi?

Hapana. Ni imetokea coincidence. Vimondo vimeshaanguka na kuua watu. Vimeshaanguka na kupiga nyumba za watu. Ni kitu cha kawaida kabisa. Ikitokea ujue ni bahati mbaya. Likiwa kubwa linaweza kuteketeza kama nuclear bomb. Kumbuka, current theory zina-suggest kuwa dinosaurs waliangamizwa na kimondo. Umeshaona ile movie ya Amageddon? That is exactly the case. Sema hicho cha gongo la mboto ni jiwe dogo sana. Halitazidi 20kg. Soma ripoti mbalimbali za hizi incidents utapata picha kamili.
 
hivi hata kama ni kimondo kilianguka bahati mbaya....je vimondo huwa vinashabihiana na silaha mpaka kikaangukie ghala namba 5?......na kwa nini kichague kambi ya jeshi?

angalia hii link: http://www.telegraph.co.uk/news/pic...5513461/Pictures-of-the-day-12-June-2009.html

Na hii clinic iliyoangikiwa na kingine USA:



Mimi siamini kama ni an attack kwa maana hatuna jirani yeyeto mwenye long range missile capabilities. Hata za kurusha kutoka Znz kufika Dar hawana. Ni nchi chache sana zenye huu uwezo. North Korea yenyewe ni juzi tu imeweza kuwa na zenye uwezo wa kufika Japan. Na Iran wana zenye uwezo wa kufika Israel. Labda useme Marekani na Urusi tu. Na wao hawana time na sisi. Na kwa vyovyote ingeleta mshtuko mkubwa sana kwa wengine.
 
Last edited by a moderator:
Hicho kimondo gani kilenge ghala la makombora?kwanini kisianguke magu?aafu makombora ya tz tu ndo yanaexpire mbona warusi na wamarekani bado wana makombora ya 1945 wala hayalipuki?hii ni HUJUMA.mabomu gani ya kuexpire kipindi cha jk tu LIPO ZENGWE LINAPIKWA,mabomu hayaekeisipayi bana likifikia hali hiyo haliwezi kulipuka si limeexpire so detonation mechanism itafanya vipi adi lilipuke

kimondo hakichagui sehemu ya kuanguka. Kinaweza hata kukuangukia wewe. Mimi naamini hii ni bahati mbaya tu. Ni ripoti ipi ilisema kuwa haya maghala yalikuwa na mabomu ya miaka ya 70?
 
Kuna mtu alishawahi kuapa tena mbele za watu kuwa lazima akalie kiti cha urais siku moja iwe kwa damu au kwa amani na mtu huyo yupo na anaheshimika na kuogopwa kuguswa na hata mkwere mwenyewe na ana watu kona zote na idara zote amepandikiza watu wake.

Humu hakuna vichaa kila swali la kujiuliza humu lina maana zaidi ya moja, kwa mfano kwa nini kwenye kambi ya jeshi?
Kwa nini kipindi cha utawala wa mkwere?

Kwa nini itokee zaidi ya mara moja ndani ya miaka miwili? wakati kama ni tahadhari ilishatokea na kuahidiwa na Hussein Mwinyi haitatokea tena.

Je! ni kweli hapa Tanzania ndiyo nchi yenye joto la kuweza kulipua silaha zetu wenyewe kuliko nchi nyingine yoyote barani Africa?
Hivi inaingia akilini kuwa sisi tuna silaha za zamani sana kuliko nchi zingine ulimwenguni mpaka zifikie hatua ya kulipuka?

Ma Great Thinkers mtu akitoa hoja asishambuliwe bali tuchunguze kwa aina ya kipindi kile cha kinyerere zaidi na kupata taarifa za uhakika na siyo ghiliba za wanasisa na wasemaji wa polisi,jeshi na serikali pamoja na magazeti yaliyojaa njaa tupu.
ninachojua ni kwamba kuna watu wanaishi maeneo yale ya ukonga wanaweza kuwa mashuhuda wazuri kuliko magazeti lakini wanapuuzwa kwa sababu tu ya matakwa ya kisiasa.

Wangu ni hivi! There must be something wrong some where ila hatuambiani ukweli halisi
 
Jamaa anawezaakawa anasema possibility fulani, tusimbishie...

Haiingii akilini kuwa ni ajali ya kawaida...ndani ya miaka 2!!itokee...inawezekana kuna adui anatupunguzia silaha kwa kulipua maghala yetu sie (kina JK) TUNACHEKACHEKA TU...
 
kimondo huwa siyo fragile. tena huwa ni jiwe lisilobondeka na kitu chochote cha dunia hii. kwa hiyo turuhusu 'tume huru' ifanye utafiti wake pengine tutaoneshwa hicho kimondo kilichopiga ghala ya jeshi letu.

nadhani hata bomu laweza kuwa kitu kigumu pia na mabaki yake huonekana.
 
Wana JF

I truly believe the kimondo thing is a mere coincidence, I and my other 9 friends were sitting outside a club in Mbezi Beach, maeneo ya Africana, mara tunakona mwanga mkali wenye cheche zilizokuwa zikipukutika kutoka angani, initially tulidhani ni waya wa umeme umepata short, lakini ilikuwa ni juu sana tuka conclude kuwa sio umeme. I was the first to sight it. Then we joked kuwa huenda ni wanasayansi wa kijadi wanatua na ndege zao kwenda kuwanga, but we wondered it was so early, just around 20hrs. We were of mixed nationalities, so tukataniana yakaisha. But in just 5 - 10 minutes tukaanza kusikia mirindimo na mwanga mkubwa hewani, si muda mrefu tukapigiwa simu kuwa Gongolamboto mabomu yanalipuka.

Najaribu kutafakari sipati picha, what a gross coincidence, ya kitu tulichokiona and the timing of the bombs na hao jamaa walioona a similar objects vikiwaka moto hewani.

I suggest tuendelee kufuatilia kama kuna wengine waliona a similar object maeneo mengine, then we need to extraporate.

As to the cause of bomb explotions, mengi yameanza kuongelewa, wengi wanasema huenda ni hujuma ilishafanyika ndani ya kikosi so watu wamelipua ili kupoteza ushahidi. KWamba huenda contents za mabomu zilishakutolewa na kuuzwa ( ndio maana mengine yako mitaani hayajalipuka lakini yako empty), wengine wanasema physical bombs yenyewe huenda mengi yalishatembea. Juu ya hili TPDF weneywe hawawezi kuji audit na kutoa maelezo ya uwazi, we need external investigators watusaidie, maana hata Mbagala hizi fununu zilizagaa.

We need more information ili zisaidie kupata clue ya nini kinaendelea. Na tusiwabeze watu hata kama wakitoa utumbo, lets read between the lines. Tutawakwaza hata waliokuwa na fununu za ukweli wakaogopa kushambuliwa na wan JF, wakamezea, after all hawana cha kupoteza, kwa kuwith hold such information.
 
Back
Top Bottom