Dr.Mbura
Senior Member
- Jun 30, 2009
- 193
- 122
Ni mara chache sana mimi kuchangia hapa JF ila nimesoma post zote za milipuko lakini sajaona post za kitu nilichokiona kabla ya milipuko.
MIMI naishi maeneo ya Segerea ni karibu sana na GOMS nilichokiona ambacho nakiita shambulizi ni kitu kama kimondo kutoka juu sana na kudondoka maeneo ya Goms baada ya hapo ndipo milipuko ilianza!
MIMI naishi maeneo ya Segerea ni karibu sana na GOMS nilichokiona ambacho nakiita shambulizi ni kitu kama kimondo kutoka juu sana na kudondoka maeneo ya Goms baada ya hapo ndipo milipuko ilianza!