DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,904
- 18,398
Chief-Mkwawa Hebu nieleze kuhusu hivi vidubwana maana kuna jamaa anataka kuniuzia jinsi vinavyofanya kazi na ni vizuri kwa matumizi ya ofisi na nyumbani na vipi kuhusu ufanyaji kazi wake
Hawawezi labda uwe na connection. Router za 5G pia ni ghali sana, most of time bei itakua kubwa kushinda hio.Mkuu Chief Mkwawa, jee hao Airtel naweza kuwa na Router yangu isiyo ya kampuni yao na wakanisajili kutumia mtandao wao?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Nafkiri ni 4G microwave hio kabla ya 5G kuja zilitumika na Voda/Airtel na wengine.Chief-Mkwawa Hebu nieleze kuhusu hivi vidubwana maana kuna jamaa anataka kuniuzia jinsi vinavyofanya kazi na ni vizuri kwa matumizi ya ofisi na nyumbani na vipi kuhusu ufanyaji kazi wake View attachment 2910999
View attachment 2911000
Vipi kama eneo likiwa Kigamboni ama pwaniNafkiri ni 4G microwave hio kabla ya 5G kuja zilitumika na Voda/Airtel na wengine.
Kama Eneo lako kuna 5G vyema ukakomaa upate 5G, ina faida zaidi kuliko 4G.
Na ufanyaji kazi wake ukoje..Nafkiri ni 4G microwave hio kabla ya 5G kuja zilitumika na Voda/Airtel na wengine.
Kama Eneo lako kuna 5G vyema ukakomaa upate 5G, ina faida zaidi kuliko 4G.
Ufanyaji kazi ni mmoja, Microwave inasaidia kupunguza ping, 5G yenyewe by nature ina ping ndogo, uzuri wa 5G ni capacity hata kama mtakua wengi mtaani ngumu speed kudrop.Na ufanyaji kazi wake ukoje..
Hiyo ya kuwekwa nje kama Ungo wa Starlinks
Na hiyo ya ndani...
Starlink around 1.5m installation na kwa mwezi around 120,000 huku kwetu.Na kingine Hivi star links ni bei gani na malipo yake kwa mwz
Kigamboni probably 5G ipo, angalia mwenyewe eneo lako. Pwani likely hakuna 5G na 4G pia inaweza isiwepo, angalia.Vipi kama eneo likiwa Kigamboni ama pwani
Kwa maeneo niliyopo Vigumu sana kwa 5G kushikaUfanyaji kazi ni mmoja, Microwave inasaidia kupunguza ping, 5G yenyewe by nature ina ping ndogo, uzuri wa 5G ni capacity hata kama mtakua wengi mtaani ngumu speed kudrop.
so Hapa Tz kuna wakala? na nikienda kununua Kenya (Maana naona wengi wanafanya hivyo) nalipaje k8furushi cha MweziStarlink around 1.5m installation na kwa mwezi around 120,000 huku kwetu.
mkuu hicho ni kifurushi cha shi ngapi kwa mwezi.Hii mimi mwenyewe ndio naisikia hapa sijawahi ku experience changamoto hiyo.
Kuna miezi huwa napiga hadi terabyte mbili bila speed kushuka.
Na sometimes kwenye torrent napata download speed hadi ya 9MB per sec.
Hapa nimepiga 650GB na bado speed iko kasi ile ile.
View attachment 2910940
110Kmkuu hicho ni kifurushi cha shi ngapi kwa mwezi.
Kwa maeneo niliyopo Vigumu sana kwa 5G kushika
Tanzania hakuna wakala, ni Kenya, sijajua kenya wanalioaje, ila probably credit card.so Hapa Tz kuna wakala? na nikienda kununua Kenya (Maana naona wengi wanafanya hivyo) nalipaje k8furushi cha Mwezi
Wiki hii nimenunua Voda ile router yenye masikio inayotunza chaji kidogo, maana zile nyingine kubwa hazitunzi chaji kabisa. Sio kweli kwamba ni bure, nimeilipia 145,000 na kwa mwezi 115,000 unlimited unapata 10mbps. Tatizo lake ni 50m coverage alafu nikiiweka ghorofani wa chini hawapati vizuri na nikiweka chini wa ghorofani hawapati vizuri.Kwa mitandao ya simu Airtel wapo friendly zaidi, Gharama ndogo za kujisajili ambayo ni laki 2, wanakupa router na powerbank incase umeme unakatika ama upo nje ya nyumba. Vifurushi vyao vinaanzia 70,000 kwa mwezi
Voda pia wapo vizuri ila wame target zaidi wafanyabiashara, usajili bure ila utahitaji ka kila mwezi kulipa, vifurushi vinaanzia 120,000
Tigo wao gharama ghali sana kujiunga 650,000 ila kwa mwezi ni 70,000
Angalia kwako mambo haya
1. Unapata 5G? Kama unapata ni mtandao upi?
2. Pima speed zote za 4G na 5G angalia mtandao upi unazidi speed husika unayotaka kununua...
Then chagua mtandao kutokana na quality ya mtandao ya eneo lako, u naweza toa hela nyingi ukaishia kupata speed mbovu.
Hio ya Voda 115,000 ni unlimited ya zamani, ya 4G, ya sasa ni 120,000 na unapata 30mbps. Pia ni bure kuunga kama umetimiza masharti.Wiki hii nimenunua Voda ile router yenye masikio inayotunza chaji kidogo, maana zile nyingine kubwa hazitunzi chaji kabisa. Sio kweli kwamba ni bure, nimeilipia 145,000 na kwa mwezi 115,000 unlimited unapata 10mbps. Tatizo lake ni 50m coverage alafu nikiiweka ghorofani wa chini hawapati vizuri na nikiweka chini wa ghorofani hawapati vizuri.
Nataka kuchukua router yenye nguvu zaidi iwe kama 150m na iwe strong. Hakuna haja ya kuwa na router eti ikiwa sebuleni juu, uko mbele getini chini mtandao hamna.
Nichukue aina gani, au niwatafute TTCL wafunge fiber? Naogopa watakuwa wababaishaji, na Zuku wana tabia ya kuuza signal sijui zinaitwaje hizo. Kesi zao nimesizikia.
Wifi haipiti vizuri katika cementi/concrete jaribu kuweka sehemu kama kwenye ngazi labda ili signal ifike kote pia unaweza kununua extender/booster/repeater hiki ni kifaa kinachokamata wifi na kuirusha na nguvu mpya sio nzuri kama wifi kila ghorofa ua mesh ila ni cheap na inatosha mara nyingi. So unaiweka somewhere btwn router na ghorofa ya pili.Wiki hii nimenunua Voda ile router yenye masikio inayotunza chaji kidogo, maana zile nyingine kubwa hazitunzi chaji kabisa. Sio kweli kwamba ni bure, nimeilipia 145,000 na kwa mwezi 115,000 unlimited unapata 10mbps. Tatizo lake ni 50m coverage alafu nikiiweka ghorofani wa chini hawapati vizuri na nikiweka chini wa ghorofani hawapati vizuri.
Nataka kuchukua router yenye nguvu zaidi iwe kama 150m na iwe strong. Hakuna haja ya kuwa na router eti ikiwa sebuleni juu, uko mbele getini chini mtandao hamna.
Nichukue aina gani, au niwatafute TTCL wafunge fiber? Naogopa watakuwa wababaishaji, na Zuku wana tabia ya kuuza signal sijui zinaitwaje hizo. Kesi zao nimesizikia.
Masharti gani Vodacom wanataka kuunga hiyo 30mbpsHio ya Voda 115,000 ni unlimited ya zamani, ya 4G, ya sasa ni 120,000 na unapata 30mbps. Pia ni bure kuunga kama umetimiza masharti.
Hio wifi unaweza ukafanya mesh, tafuta router nyengine weka mahala, tumia ethernet kuziconect router ili upate signal zaidi.
Fiber ni bora zaidi, ila angalia coverage kwako, signal ya Zuku sijaelewa bado ina maanisha nini. Ttcl inataka moyo, kama una option nyengine achana nao.
Msaada mkuu namna ya kudownload movie kweny torrent natanguliza shukraniHii mimi mwenyewe ndio naisikia hapa sijawahi ku experience changamoto hiyo.
Kuna miezi huwa napiga hadi terabyte mbili bila speed kushuka.
Na sometimes kwenye torrent napata download speed hadi ya 9MB per sec.
Hapa nimepiga 650GB na bado speed iko kasi ile ile.
View attachment 2910940