Mkoa gani hii?Hali hii isiyo ya kawaida hutokea usiku mtu ukiwa umelala!Unapoamka unakuta mikwaruzo hiyo hasa tumboni,shingoni,mapajani,kifuani au mgongoni!!Husababishwa na ninini?Maana inawasha balaa!Naombeni majibu muafaka!Nimeweka picha!!
Nimeshindwa kukuelewa naomba uliza swali vizuri!Mkoa gani hii?
Nimepimwa sana hiyo kitu,sinaMeza dawa za minyoo...
🤔😔
Hapo kuna mambo mawili yanaweza kuwa sababuHali hii isiyo ya kawaida hutokea usiku mtu ukiwa umelala!Unapoamka unakuta mikwaruzo hiyo hasa tumboni,shingoni,mapajani,kifuani au mgongoni!!Husababishwa na ninini?Maana inawasha balaa!Naombeni majibu muafaka!Nimeweka picha!!
Upande wa kucha sidhani kama ni zenyewe!Sabuni naogea hiyo ya kijani mnayoiita "alovera"Hapo kuna mambo mawili yanaweza kuwa sababu
1: angalia kucha zako kama ni ndefu kata
2: kwa siku 3 au 4 nyuma angalia aina ya chakula au mafuta ya kula unayo tumia hii inaweza kukusababishia alej flani ukajihisi kuwashwa sana kwa baadhi ya sehem za mwili au umebadili sabuni ya kuogea .....chezea humo
Hali hii isiyo ya kawaida hutokea usiku mtu ukiwa umelala!Unapoamka unakuta mikwaruzo hiyo hasa tumboni,shingoni,mapajani,kifuani au mgongoni!!Husababishwa na ninini?
Maana inawasha balaa!Naombeni majibu muafaka!Nimeweka picha!!
Kuna uwezekano ukiwa usingizini, unajikuna.Hali hii isiyo ya kawaida hutokea usiku mtu ukiwa umelala!Unapoamka unakuta mikwaruzo hiyo hasa tumboni,shingoni,mapajani,kifuani au mgongoni!!Husababishwa na ninini?
Maana inawasha balaa!Naombeni majibu muafaka!Nimeweka picha!!
Nope!Uliogea steel wool
Labda!Kuna uwezekano ukiwa usingizini, unajikuna.
Mkuu hizo fimbo umechapwa usiku na wanga kuna ndugu yangu nae imesha wai mtokea hivyo wanga wakiamua waku komeshe ndizo staili zao hizo.Hali hii isiyo ya kawaida hutokea usiku mtu ukiwa umelala!Unapoamka unakuta mikwaruzo hiyo hasa tumboni,shingoni,mapajani,kifuani au mgongoni!!Husababishwa na ninini?
Maana inawasha balaa!Naombeni majibu muafaka!Nimeweka picha!!
TayariHali hii isiyo ya kawaida hutokea usiku mtu ukiwa umelala!Unapoamka unakuta mikwaruzo hiyo hasa tumboni,shingoni,mapajani,kifuani au mgongoni!!Husababishwa na ninini?
Maana inawasha balaa!Naombeni majibu muafaka!Nimeweka picha!!
Nilipoamka palikuwa panavuja damu mithili ya kupitishiwa wembemkuu hapo ni mikwaruzo katika harakati za mchana maana hapo huo mkwaruzo sio wa usiku huohuo ni kama wa jana ake ila unapojikwaruza haitokei alama ila baada ya muda inajitokeza alama