Usije ukakuta bed ni mbovuWeka napicha ya bed lako tuone...
Msubiri mtaalamu Mshana JrHali hii isiyo ya kawaida hutokea usiku mtu ukiwa umelala!Unapoamka unakuta mikwaruzo hiyo hasa tumboni,shingoni,mapajani,kifuani au mgongoni!!Husababishwa na ninini?Maana inawasha balaa!Naombeni majibu muafaka!Nimeweka picha!!
Weka napicha ya bed lako tuone...
Weka napicha ya bed lako tuone...
Niko mbali kidogo na chumba changu,ila nalalia godoro la TANFOAM ARUSHA!Weka napicha ya bed lako tuone...
Angalia kucha zako inawezekana inatokana na kujikuna wakati upo usingizini
Sijawahi kufuga kucha ndefu kihivyo!!Ajabu inatokea hata maeneo ambapo hata ukiunyoosha mkono haipafikii!!Angalia kucha zako inawezekana inatokana na kujikuna wakati upo usingizini
Oya,, hiyo avatar ni balaa sio kwa hilo dansi mkuu,Kama upo Single fikiria mara 2 sometimes kwenye purukushani za nyeto hayo yanatokea