Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,714
- 24,890
Mwisho wa dunia
Hata Mimi Huku Karatu Usiku saa Moja nimeviona vitaa vingiNipo arusha mkuu,nimeona pia watu kadhaa wa Dar nao wameona,kwa hapa arusha naziona zikitokea kaskazini kuelekea kusini.
Yeye kakuonyesha sampo tu hakusema kama ni picha za darMbona picha za uwongo.
Dar na milima wapi na wapi?
Picha ya mwisho angalia tarehe, siku, mwaka na mudaa huu saa ngapi
Wakina airtel na wenzie wamebanadaaah elfu tano!
sasa huku kwetu wameona tutapungukiwa nini wakipewa starlink ku provide internet
Watachangia wasio yajua?vitu kama hivi havipati wachangiaji. ngoja iwekwe ngono na siasa uchwara za machawa....watachangia weeeeeeeeeeeeeee mpaka kinyaa!
Isije kuwa Tumevamiwa na Intarahamwe.......wanasema they have no Means but WaysNi kama nyota zinazoongozana kwa mstari mnyoofu, zikiachana kwa nafasi ndogo, zinaonekana zikiwa mbili mbili zilizokaribiana zinaacha nafasi kidogo kisha zinafuata nyingine mbili na kuendelea,tazama picha chini,sijawahi kuona kitu cha namna hii maishani.View attachment 2917366
Hizo ni constellation satellite za starlink Internet mkuuuKuna kitu sijui naweza kusema ni nini, maana si ndege kwa muonekano wa taa ulivyokuwa mrefu, ila nimeshindwa kuelewa kwa sababu ya giza.
Kimetokea uelekeo wa Bagamoyo kwenda kigamboni, mliopo huko hadi mbagara mnaweza kutujuza au anayeweza kuelewa ni kitu cha aina gani.
Kwenye komenti No. #7 kuna picha mdau wa Arusha Capt Tamar aliwahi kupiga picha, vinatembea kwa mstari kama wale ndege weupe wanaoluka pamoja kwa mstari wakihama wanaopatikana dead lake njia ya Loliondo.
Nawasilisha.
Kwahiyo hapa umetoa mchango gani?vitu kama hivi havipati wachangiaji. ngoja iwekwe ngono na siasa uchwara za machawa....watachangia weeeeeeeeeeeeeee mpaka kinyaa!
kama wewe hivi....... to encourage people to discuss issues on JF not stupid nonsense issues related to uchwara /petty politics as is always done by johnthebaptist , my JF friend!.Kwahiyo hapa umetoa mchango gani?
SpaceX Satellite Train, imetembea toka magharibi kwenda mashariki.
Legacy tunagonga Wine tu 😂😂kama wewe hivi....... to encourage people to discuss issues on JF not stupid nonsense issues related to uchwara /petty politics as is always done by johnthebaptist , my JF friend!.
watasema majini ya yanga...
🤣🤣🤣Mbona inaleta picha vile, sisi huku tumeamua kulala nje ili likirudi tulione lisije likatuzikia ndani kana Gaza.
Asante kwa maelezo mazuriMkuu hii siyo habari mpya. Kulingana na maelezo waliyotoa na picha ambayo mmoja wa members amepiga nina uhakika ndiyo yenye. Mpaka website ya ku-track itakuwa wapi na kwa muda gani ipo.
SpaceX Starlink Satellites Tracker
Calculate when you can see the SpaceX Starlink satellites above your locationfindstarlink.com
UFO wametufikia hatimae juhudi za mama na serikali ya awamu ya sita kupitia royal Tour Zinazidi kuzaa matunda