TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,767
- 21,241
Kuna kitu sijui naweza kusema ni nini, maana si ndege kwa muonekano wa taa ulivyokuwa mrefu, ila nimeshindwa kuelewa kwa sababu ya giza.
Kimetokea uelekeo wa Bagamoyo kwenda kigamboni, mliopo huko hadi mbagara mnaweza kutujuza au anayeweza kuelewa ni kitu cha aina gani.
Kwenye komenti No. #7 kuna picha mdau wa Arusha Capt Tamar aliwahi kupiga picha, vinatembea kwa mstari kama wale ndege weupe wanaoluka pamoja kwa mstari wakihama wanaopatikana dead lake njia ya Loliondo.
Nawasilisha.
UPDATES:
Baada ya wadau hapa JF kutoa majibu ilikuwa ni kitu gani nimejaribu kufuatilia na kuwasilina na ofisi ya uhusiano ya Space X na wao wakanipa ushirikiano mzuri kuhusiana na hizo kitu.
Kwamba ni kundi la satelaiti bandia zinazofanya kazi pamoja kama mfumo mmoja angalia picha mjongeo hapo chini.
Hii ni tofauti na setilaiti moja, tunaweza kusema ni kundi nyota ambayo inaweza kutoa utandawazi (globalization) wa kudumu wa kimataifa au kwenye ulimwengu wetu huu.
Hii ni kwamba wakati wowote kila mahali kwenye Dunia angalau setilaiti moja inaweza kuonekana na hizi zinazosaidiana na zile zilizopo anga za juu kuunganisha kwenye vituo vya ardhini vinavyosambaza mawasiliano kimataifa.
Pia soma > Ufafanuzi wa tukio lilotokea jioni ya leo kwenye Anga la Tanzania, Teknolojia inazidi kukuwa, Watanzania tunaachwa nyuma tunabaki kushangaa
Kimetokea uelekeo wa Bagamoyo kwenda kigamboni, mliopo huko hadi mbagara mnaweza kutujuza au anayeweza kuelewa ni kitu cha aina gani.
Kwenye komenti No. #7 kuna picha mdau wa Arusha Capt Tamar aliwahi kupiga picha, vinatembea kwa mstari kama wale ndege weupe wanaoluka pamoja kwa mstari wakihama wanaopatikana dead lake njia ya Loliondo.
Nawasilisha.
UPDATES:
Baada ya wadau hapa JF kutoa majibu ilikuwa ni kitu gani nimejaribu kufuatilia na kuwasilina na ofisi ya uhusiano ya Space X na wao wakanipa ushirikiano mzuri kuhusiana na hizo kitu.
Kwamba ni kundi la satelaiti bandia zinazofanya kazi pamoja kama mfumo mmoja angalia picha mjongeo hapo chini.
Hii ni tofauti na setilaiti moja, tunaweza kusema ni kundi nyota ambayo inaweza kutoa utandawazi (globalization) wa kudumu wa kimataifa au kwenye ulimwengu wetu huu.
Hii ni kwamba wakati wowote kila mahali kwenye Dunia angalau setilaiti moja inaweza kuonekana na hizi zinazosaidiana na zile zilizopo anga za juu kuunganisha kwenye vituo vya ardhini vinavyosambaza mawasiliano kimataifa.
Pia soma > Ufafanuzi wa tukio lilotokea jioni ya leo kwenye Anga la Tanzania, Teknolojia inazidi kukuwa, Watanzania tunaachwa nyuma tunabaki kushangaa